Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

hivi hizi picha za AI Kuna ujuzi Gani unaotumika kuzitengeneza?
Kuna app inatumika ? please mwenye abc na hizi picha nazipenda Sana 🙏🙏
 
Mkubwa technology ina chukua nafasi kwa upana miubwa.
Hiyo ni sehemu ya tool tu, sema kwa ma guru Ina mpunguzia credit.
Graphics raha uumize kichwa mkuu.mie nazijua hizo vzr ukija kwangu na Graphics ya AI sikuchukui .. sasa hizo ni photoshop vipi ktk animation after effects napo atatumia AI ? Na je kama unasimamiwa na mtu pembeni si ataona unakula hela ya bure tu

Nilikua ktk moja ya entertainment company kubwa kitengo cha creative hivyo najua graphic designer mzuri touch zake zikoje
 
Admin Wa Majushaa Anajitajidi Sana Kwenye Graphics.

Mwingine Admin Wa Timu Ya Masau Bwire.
 
Graphics raha uumize kichwa mkuu.mie nazijua hizo vzr ukija kwangu na Graphics ya AI sikuchukui .. sasa hizo ni photoshop vipi ktk animation after effects napo atatumia AI ? Na je kama unasimamiwa na mtu pembeni si ataona unakula hela ya bure tu

Nilikua ktk moja ya entertainment company kubwa kitengo cha creative hivyo najua graphic designer mzuri touch zake zikoje
Sema mkubwa nawe Ume tembea Sana.
 
Back
Top Bottom