einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,674
Nimewapuuza Tu. Mnabisha kwa Shallow Learning... Na kwa makusudi kabisa mnapotosha hata kile mlichokielewa. Mnalazimisha kutokuelewa.
Nawakumbusha tena, Mwenyezi Mungu ni mkubwa kuliko chochote /Yeyote, na mwenye uwezo wa kila kitu.
Oneni ukuu wake, fungueni macho na akili. MTAELEWA.
Unataka uishi mpaka millennia nzima? Then unakiita kifo adui namba moja hapo hukumbuki kuwa ni robo tu ya dunia ndio nchi kavu sasa kama kila kiumbe hai kitakachozaliwa ni lazima kiishi yaan kisife unadhani hii dunia ingetutosha kweli????!
DEATH IS JUST A BALANCE OF NATURE AND NOT OUR ENEMY!
HahahahaHahahaha yani sisi ndo wa kudili na pimbi? Labda @Bennie 369 mie simooo
Halafu @einstein newton mbona pm yangu umeichunia?
Basi sawaaaaHahahaha
sijakuchunia
Nimekupata Princess Jimena