Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Mpigie kura hiyo Januari 21 kwenye uchaguzi, ukishindwa usije lalama huku kwenye mtandao.. 😀 😀Tumemchoka nkurunzinza tunataka changamoto mpya lissu atatusogeza mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie kura hiyo Januari 21 kwenye uchaguzi, ukishindwa usije lalama huku kwenye mtandao.. 😀 😀Tumemchoka nkurunzinza tunataka changamoto mpya lissu atatusogeza mbele
Acha lilime😛Lissu jembe sana
170b🤣🤣🤣🤣kalambishwa
😂😂Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.
Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..
Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..
Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
povu la nini sasa?Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.
Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..
Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..
Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Wamachame safari hii mumeyatimba kwelikweli.Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.
Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..
Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..
Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Sultan.Nani huyo mwaga mchele
Sultan alizungusha.Sasa msitusumbue na suti zenu za msibani kwa kujiita Wasomi...
Lisu mwemyewe zuzu, alipigwa risasi na mbowe ila akamsisngizia magufuli,Anaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,
==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*
KWAHIYO.......
1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?
2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?
3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?
MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.
MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;
MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?
TUMKATAE MBOWE KWA NGUVU ZOTE
Sasa kalambishwa ili atuuze ama.? Tupe dhumuni la kulambishwa asali ya 12BSultan.
Sio kweli. Huyu mtu kanyooka na anaichukia rushwa ndio maana walamba asali hawamtaki sababu n kikwazo kwenye asali yaoNasikia ni Tundu Lissu ili akibomoe chama vipande vipande😁
MBOWE bye bye, Wacha sasa twende na Tundu LissuAnaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,
==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*
KWAHIYO.......
1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?
2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?
3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?
MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.
MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;
MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?
TUMKATAE MBOWE KWA NGUVU ZOTE
Ili amfanyie Samia wepesi October 2025.Sasa kalambishwa ili atuuze ama.? Tupe dhumuni la kulambishwa asali ya 12B
Duh nomaIli amfanyie Samia wepesi October 2025.