Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Kwani CDM ni mali ya mbowe?
Chama kinarudi kwa wanachama awamu hii.
Inawezekana wewe ni mmoja wa familia ya mbowe na una hofu ya kupoteza kitega uchumi chenu. Sasa jiandae kisaikolojia
 
Mnyampaa anampelekea moto mpalestina yaani sio poa. Sisi CCM tupo hapa kuchochea tu moto mpasuane.
 
Anaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,

==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*

KWAHIYO.......

1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?

2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?

3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?

MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.

MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;

MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?

TUMKATAE MBOWE KWA NGUVU ZOTE
Mbowe asipougua sukari safari hii hatougua tena
 
Naa
Anaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,

==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*

KWAHIYO.......

1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?

2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?

3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?

MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.

MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;

MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?

TUM
Hoja za
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Hoja za kijinga
 
Inaonekana Mbowe ni mweupe kichwani, ila Uchadema na kuandaliwa hotuba kulimfanya aonekane makini
 
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana

Kwani hiki ni cha nani?

Habari mbaya kwenu:

IMG_20250107_112313.jpg


Mshaurini mwamba apumzike kukinusuru chama na u CUFU.
 
Tetesi toka mtandao wa Twitter ni kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ 🤣
Inawezekana ni tetesi za uongo au za ukweli, ila 12B+ sio pesa ya kitoto 🤣
12B parefu kaka, hiyo ni OC ya shirik na chenchi inabaki
 
Ni wasomi hao sio kwamba wanajiita tu
Kwamba Law ni muhimu kuliko career ipi kwamfano..

Labda? How is law important over other noble careers.... How?

Btw wengi ni vishoka wa buku 10 , 10 za mihuru na drama kuna usomi gani hapo 😅
 
Back
Top Bottom