Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ha
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
 
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Wengi wao hawawezagi kuanzisha kitu labda wadandie kama tunavyoona sasa hivi
 
Afrika mtu anakusaidia ili akukandamize mbele ya Safari ,ujinga huu, lissu amekisaidia mangapi chama ,kwa kutumia akili yake ,pesa sio shida kama huna akili
 
Afrika mtu anakusaidia ili akukandamize mbele ya Safari ,ujinga huu, lissu amekisaidia mangapi chama ,kwa kutumia akili yake ,pesa sio shida kama huna akili
Knowledge is one of the very cheap commodity in the world... Dont get twisted.

Mambo mengi aliyofanya alilipwa na yalikuwa majukumu yake ya kazi.

Msaada ni vitu ambavyo hustahili.
Lakini anyways, watanzania ndivyo walivyo, ukiwasaidia shida, na usipowasiaida una roho mbaya,
 
Wengi wao hawawezagi kuanzisha kitu labda wadandie kama tunavyoona sasa hivi
Watadhibuitiwa vilivyo.
Na Chairman anasema baada ya hapa ni kufurushwa kwenye chama, potelea mbali.
 
Anaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,

==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*

KWAHIYO.......

1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?

2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?

3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?

MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.

MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;

MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?

TUMKATAE MBOWE KWA NGUVU ZOTE
Uzuri wewe si mpiga kura.
 
Lissu Spares no one when it comes to making his way and fitting his narratives.

Zamani nilijua ni mwanasiasa, kwa sasa namuona ni mtu ambae hana staha wala shukrani.

Mwanaharakati mwenye chuki za dhati kwa wale wasiomuunga mkono.

Very evil soul filled with resentments and ego, i will not change my personal perception about him.

Hayo ni mawazo yako wengine hatumwoni hivyo.

Zaidi sana wengine tunakerwa na wenye u-mu7 huu:

GgoF-14WEAAFBOX.jpeg
 
Kwamba Law ni muhimu kuliko career ipi kwamfano..

Labda? How is law important over other noble careers.... How?

Btw wengi ni vishoka wa buku 10 , 10 za mihuru na drama kuna usomi gani hapo 😅

Una maana mwamba kadhamiria ikibidi auvae u CUFU?

GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
 
Si uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.

Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..

Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..

Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana

Hakuna mtu "mwenye chama chake". Chama ni cha wanachama.

shoe wine

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Knowledge is one of the very cheap commodity in the world... Dont get twisted.

Mambo mengi aliyofanya alilipwa na yalikuwa majukumu yake ya kazi.

Msaada ni vitu ambavyo hustahili.
Lakini anyways, watanzania ndivyo walivyo, ukiwasaidia shida, na usipowasiaida una roho mbaya,
Alilipwa sh ngapi?
 
Mtamaliza bucha zote:

View attachment 3194975

Hakuna cha uchagga, unyaturu, ualimu, uhandisi, unesi au udaktari hapo:

"La kuvunda halina ubani!"
Sasa hii inahusika nini na mawakili kuunga mkono wakili mwenzao? Sijasema kuwa hamna wengine wanaomuunga mkono. BTW, umemsikiliza Dr Lwaitama hivi karibuni?

Amandla...
 
Maneno tu hata serikali ni ya wananchi😂

Katiba ya chi Iko wazi kuwa "Mamlaka ya nchi Iko kwa wananchi"

siku wananchi waamue kuingia barabarani nchi nzima ndipo utajua nguvu yao. nakwambia wanalotaka litatimizwa!
 
Katiba ya chi Iko wazi kuwa "Mamlaka ya nchi Iko kwa wananchi"

siku wananchi waamue kuingia barabarani nchi nzima ndipo utajua nguvu yao. nakwambia wanalotaka litatimizwa!
Kaka ndio maana kuna figisu.
Unapanga safu yako ya kukulinda ukitoka unaish fresh wewe na watoto wako na wake zako mpaka kifo kiwatenganishe...

Wananchi ni customer wako, unacheza na akili zao tu
 
Back
Top Bottom