Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Ni tetesi tu inawezekana ni uongo au ukweli ila 12B sio asali ya mchezo mchezo š¤£Hana thamani hiyo
Msilete ubwege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tetesi tu inawezekana ni uongo au ukweli ila 12B sio asali ya mchezo mchezo š¤£Hana thamani hiyo
Msilete ubwege
Sasa hii inahusika nini na mawakili kuunga mkono wakili mwenzao? Sijasema kuwa hamna wengine wanaomuunga mkono. BTW, umemsikiliza Dr Lwaitama hivi karibuni?
Amandla...
Sawa, Mkuu usie chawa.Weka u chawa pembeni, kisha angalia tena.
Kumsaidia mwanachama mwenzako kuna ubaya gani ikiwa ninyi nyote ni chama kimoja,kuna vitu havitakiwi kuzungumzwa na watu wazima wa chama kimoja ni ujinga ndio unaweza msukuma mtu kuongea upuuzi wowote ule.Anaandika Wakili wa Mahakama kuu Adv LEVINO,
==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*
KWAHIYO.......
1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?
2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?
3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?
MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.
MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;
MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?
TUMKATAE MBOWE KWA NGUVU ZOTE
Sawa, Mkuu usie chawa.
Amandla...
Udaku huo, hakuna mtu anayeweza kupewa hiyo pesa. Huo ni mtaji wenye kuweza kutajirisha watu wengi kwa wakati mmoja.Tetesi toka mtandao wa Twitter ni kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ š¤£
Inawezekana ni tetesi za uongo au za ukweli, ila 12B+ sio pesa ya kitoto š¤£
Akiwa mgombea hawezi kuhutubia taifa?. Nini tofauti ya kampeni na wakati wa siasa za kawaida?.
Akiwa mgombea hawezi kuhutubia taifa?. Nini tofauti ya kampeni na wakati wa siasa za kawaida?.
Watapiga kura?Mbowe hatakiwi tena na Wanachama
Fundi Machundo ndio nani?
Amandla...
Mbowe apimwe akili amezeeka vibaya==
Mbowe analalamika kwamba alimfadhili Tundu Lissu kwa mfuko wake hata kumnunulia gari, na kwamba alimpa hata nyumba aliyopigwa risasi pale Dodoma:*
KWAHIYO.......
1. Ndo ilikuwa gharama ya kumzima Lissu awe zuzu asikemee rushwa na pesa chafu ndani ya Chama?
2. Ndiyo ilikuwa maelekezo kwamba Lissu hatakiwi kugombea nafasi ya Mwenyekiti kwa kuwa ni Kiti chako cha enzi cha ALFA na OMEGA?
3. Na CCM wamemchangia Lissu katika michango ya kununua gari, je iwe ni kuzuizi kwa Lissu asiwapige spana CCM na Serikali yake wakikosea?
MH. LISSU alitoa Mwelekeo wa Mambo 7 ambayo yatakuwa ni Vipaumbele vya MABADILIKO akishinda.
MH. MBOWE aliomba apewe miaka 5 aendelee kukua umri, alelewe na kukuzwa ili aufikie umri wa baba mkwe wake Mtei miaka 68;
MPIGA KURA YUPI ZUZU apige kura kugeuza Chama kuwa Kituo cha Kulelea Wazee mpaka wafike miaka 68 na Kusogeza umri wa maagano ya familia?
TUM
Mpaka sasa tetesi toka Twitter wanasema 12B+ ni asali na hela nyingine inaongezwa kuongeza nguvu kwa mwamba š¤£. 12B sio pesa ya kitoto š¤£Udaku huo, hakuna mtu anayeweza kupewa hiyo pesa. Huo ni mtaji wenye kuweza kutajirisha watu wengi kwa wakati mmoja.
Tetesi toka Twitter zinasema asali ni 12B na sasa hivi Dr Slaa kasema zingine zinatafutwa kuongeza nguvu kwa mwamba š¤£Hana thamani hiyo
Msilete ubwege
Mpaka sasa tetesi toka Twitter wanasema 12B+ ni asali na hela nyingine inaongezwa kuongeza nguvu kwa mwamba š¤£. 12B sio pesa ya kitoto š¤£
Sikiliza video kuna sauti na hii ni clubhouse ya Dr Slaa
View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=w_g-bndY2v_e58vQ
Wapenda udaku wana matatizo sana.Hana thamani hiyo
Msilete ubwege
Bora yao naskia Sultani wa Kikoba alipiga duaraSi uanzishe chama chako ukifanye cha vijana ndugu wakili.
Hawa machizi wa HGL na HKL zenye Div 111 form six sijui wanajikutaga kitu gani wakienda Law school..
Anzisha chama chako, tafuta wadhamini, toa maoni kwenye vikao vya chama ..
Mbowe ni mzee mwenye heshima sio blabla za kuchangisha mpaka chakula cha mchana
Wewe form six ulisoma combination gani mkuu?Bora yao naskia Sultani wa Kikoba alipiga duara