Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani CDM ni mali ya mbowe?
Chama kinarudi kwa wanachama awamu hii.
Inawezekana wewe ni mmoja wa familia ya mbowe na una hofu ya kupoteza kitega uchumi chenu. Sasa jiandae kisaikolojia
 
Mnyampaa anampelekea moto mpalestina yaani sio poa. Sisi CCM tupo hapa kuchochea tu moto mpasuane.
 
Mbowe asipougua sukari safari hii hatougua tena
 
Naa
Hoja za
Hoja za kijinga
 
Inaonekana Mbowe ni mweupe kichwani, ila Uchadema na kuandaliwa hotuba kulimfanya aonekane makini
 

Kwani hiki ni cha nani?

Habari mbaya kwenu:



Mshaurini mwamba apumzike kukinusuru chama na u CUFU.
 
Tetesi toka mtandao wa Twitter ni kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ 🀣
Inawezekana ni tetesi za uongo au za ukweli, ila 12B+ sio pesa ya kitoto 🀣
12B parefu kaka, hiyo ni OC ya shirik na chenchi inabaki
 
Ni wasomi hao sio kwamba wanajiita tu
Kwamba Law ni muhimu kuliko career ipi kwamfano..

Labda? How is law important over other noble careers.... How?

Btw wengi ni vishoka wa buku 10 , 10 za mihuru na drama kuna usomi gani hapo πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…