Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ha
 
Wengi wao hawawezagi kuanzisha kitu labda wadandie kama tunavyoona sasa hivi
 
Afrika mtu anakusaidia ili akukandamize mbele ya Safari ,ujinga huu, lissu amekisaidia mangapi chama ,kwa kutumia akili yake ,pesa sio shida kama huna akili
 
Afrika mtu anakusaidia ili akukandamize mbele ya Safari ,ujinga huu, lissu amekisaidia mangapi chama ,kwa kutumia akili yake ,pesa sio shida kama huna akili
Knowledge is one of the very cheap commodity in the world... Dont get twisted.

Mambo mengi aliyofanya alilipwa na yalikuwa majukumu yake ya kazi.

Msaada ni vitu ambavyo hustahili.
Lakini anyways, watanzania ndivyo walivyo, ukiwasaidia shida, na usipowasiaida una roho mbaya,
 
Wengi wao hawawezagi kuanzisha kitu labda wadandie kama tunavyoona sasa hivi
Watadhibuitiwa vilivyo.
Na Chairman anasema baada ya hapa ni kufurushwa kwenye chama, potelea mbali.
 
Uzuri wewe si mpiga kura.
 

Hayo ni mawazo yako wengine hatumwoni hivyo.

Zaidi sana wengine tunakerwa na wenye u-mu7 huu:

 
Kwamba Law ni muhimu kuliko career ipi kwamfano..

Labda? How is law important over other noble careers.... How?

Btw wengi ni vishoka wa buku 10 , 10 za mihuru na drama kuna usomi gani hapo 😅

Una maana mwamba kadhamiria ikibidi auvae u CUFU?

 

Hakuna mtu "mwenye chama chake". Chama ni cha wanachama.

shoe wine

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Alilipwa sh ngapi?
 
Mtamaliza bucha zote:

View attachment 3194975

Hakuna cha uchagga, unyaturu, ualimu, uhandisi, unesi au udaktari hapo:

"La kuvunda halina ubani!"
Sasa hii inahusika nini na mawakili kuunga mkono wakili mwenzao? Sijasema kuwa hamna wengine wanaomuunga mkono. BTW, umemsikiliza Dr Lwaitama hivi karibuni?

Amandla...
 
Maneno tu hata serikali ni ya wananchi😂

Katiba ya chi Iko wazi kuwa "Mamlaka ya nchi Iko kwa wananchi"

siku wananchi waamue kuingia barabarani nchi nzima ndipo utajua nguvu yao. nakwambia wanalotaka litatimizwa!
 
Katiba ya chi Iko wazi kuwa "Mamlaka ya nchi Iko kwa wananchi"

siku wananchi waamue kuingia barabarani nchi nzima ndipo utajua nguvu yao. nakwambia wanalotaka litatimizwa!
Kaka ndio maana kuna figisu.
Unapanga safu yako ya kukulinda ukitoka unaish fresh wewe na watoto wako na wake zako mpaka kifo kiwatenganishe...

Wananchi ni customer wako, unacheza na akili zao tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…