Pre GE2025 Adv Levino: CHADEMA Sio kituo cha kulelea Wazee kufikia miaka 68

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa hii inahusika nini na mawakili kuunga mkono wakili mwenzao? Sijasema kuwa hamna wengine wanaomuunga mkono. BTW, umemsikiliza Dr Lwaitama hivi karibuni?

Amandla...

Weka u chawa pembeni, kisha angalia tena.
 
Kumsaidia mwanachama mwenzako kuna ubaya gani ikiwa ninyi nyote ni chama kimoja,kuna vitu havitakiwi kuzungumzwa na watu wazima wa chama kimoja ni ujinga ndio unaweza msukuma mtu kuongea upuuzi wowote ule.
 
Mbowe ni muhuni aliyejificha kwenye siasa kwa maslahi yake binafsi huku akijifanya kuvaa kinyago cha uzalendo.........
 
Mbowe apimwe akili amezeeka vibaya
 
CCM wasitumie hizo pesa kwenye masuala ya ujenzi wa zahanati na barabara pamoja na kuzipeleka kule REA zikaboreshe umeme eti wakazipeleke CHADEMA, humu jukwaani kuna utoto mwingi sana.
 
Bora yao naskia Sultani wa Kikoba alipiga duara
 
Bora yao naskia Sultani wa Kikoba alipiga duara
Wewe form six ulisoma combination gani mkuu?

Btw yeye alisoma pengine zamani kidogo na umri wa wazaz wako kama wapo..

Weka matokeo yao hala ya Form 4 tu, nitakuonesha hayo ya Div Zero Form 6 PCB ya Freeman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…