kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
NdioNaona wazenji kwasasa mnaufagilia sana mungano maana mmejazana kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioNaona wazenji kwasasa mnaufagilia sana mungano maana mmejazana kariakoo
Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu.[emoji419][emoji375]Nukuu:
Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu. Waziri mkuu ametundanganya kwa mengi ikiwamo kifo cha Magufuli! Na hii ni mara ya tano anaudanganya umma bila fact.
Mwambukusi.
Kichwa gani taka taka hiyo hivi ww unajua dhambi ya utengano unazani tutakuwa paxuri mtu yoyote anayepinga muungano huyo ni msaliti wa Taifa
Anaomba ligawanywe ili apate unafuuLikigawanywa Jimbo Kule Mbeya, TULIA atakutana na huyu.
Pumbavu wewe.Kichwa gani taka taka hiyo hivi ww unajua dhambi ya utengano unazani tutakuwa paxuri mtu yoyote anayepinga muungano huyo ni msaliti wa Taifa
SanaIla Wakuu to be honest,PM Majaliwa ni muongo muongo sana alafu anapenda kuficha udhaifu wake kwa kuunda vikamati uchwara.Huyu anapaswa apumzishwe kwa sasa!
Wakili Msomi Mwambakusi kapiga mulemule.Nukuu:
Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu. Waziri mkuu ametundanganya kwa mengi ikiwamo kifo cha Magufuli! Na hii ni mara ya tano anaudanganya umma bila fact.
Mwambukusi.
ACha kufokafokaWakili Msomi Mwambakusi kapiga mulemule.
View attachment 2682932
Mtoto akililia wembe ataupata, huo umaarufu anaoutafuta kwa njia hiyo atausikilizia kunakostahili wacha ajimwambafaiNukuu:
Ndungu zangu Watanzania bora mumwamini shetani na siyo waziri mkuu. Waziri mkuu ametundanganya kwa mengi ikiwamo kifo cha Magufuli! Na hii ni mara ya tano anaudanganya umma bila fact.
Mwambukusi.
zuzu lenzakeAdv. nimetokea kumwelewa sana, hii nchi ina vichwa vya kutosha kutuondoa kwenye mkwamo wa kifikra tuliomo, tatizo maamuzi yamehodhiwa na kikundi cha wachache, walafi wa madaraka, wajinga wasiojua wanapotupeleka, na waliokata tamaa.
Huu ni wakati wa kuwaamsha, na kuwaambia ukweli, vitisho vyao havina maana yoyote.
Umeshindwa kuelewa alichoandika? Yaani Majaliwa ni mwongo kuliko shetani. Yaani ukiwafananisha hawa wawili wote hawaaminiki kabisa ila shetani ana nafuu! Tumia akili yako na siyo makalio yako kusoma.Huyu bwege anatafutwa umaarufu wa kishamba sisi tunamwini Mungu tu
Hakuna wa kuuvunja huu muumngano we kenge, hata vilembwe vyako haviwezi, alishindwa aliyekuwa rais mwenyewe wa Zanzibar Abood Jumbe, sasa minyau km nyie mliojificha nyuma ya keyboard hata hamjulikani km ni majini mtaaanzia wapi.Naona wazenji kwasasa mnaufagilia sana mungano maana mmejazana kariakoo
zuzu lingine ktk ubora wakeKweli kabisa mkuu! Hapa inatakiwa elimu hii ya kuwatoa watanzania kwenye mkwamo wa kifokra ienee kote nchini,tukitambua sio wananchi wote wanaingia mitandaoni na kukutana na akili kubwa kama za akina adv. Mwakubusi. Na pia ombi lake Kwa viongozi wa dini lifanyiwe kazi. Na kuhusu namna ya kufikisha kumbe hizi kwa wananchi zitumike nyumba za ibada. Ujumbe wa adv. Mwakubusi iwekwe kimaandishi,na kufanya kuwa waraka utakaosomwa kwenye nyumba za ibada,hapa itawafikia wengi na kwa muda mfupi.
mwongo mamako maana humjui hata babakoPM anatoa kauli za uongo uongo kama mtoto wa primary, kwanini anakuwa hivi lakini?