Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Mkuu bora ulivyoenda PCB kuikimbia Physics ya PCM maana ile ni shida.Hahahahahah
 
Mkuu bora ulivyoenda PCB kuikimbia Physics ya PCM maana ile ni shida.Hahahahahah

Kwani tofauti ya phy ya PCM NA PCB ni ipi ? Wote wanasoma phy moja !!! tena bora PCM maana kidogo maths na phy baadhi ya vitu vinaingiliana kidogo.
 
Kwani tofauti ya phy ya PCM NA PCB ni ipi ? Wote wanasoma phy moja !!! tena bora PCM maana kidogo maths na phy baadhi ya vitu vinaingiliana kidogo.
Yah ni moja ila jamaa kanichekesha sana maana kasema alivyokuwa PCM Physics ilimshinda akahamia PCB
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu kumbe na wewe ulisoma haya nadude.

Ndio maana posts zako hua zipo tofauti na wadada wa H-kunanii
Hahahahaa. Nilikua sina jinsi mkuu. History nilikua najua kumeza mapoint issue kuandika maelezo mengi nilikua siwezi kabisa.
 
Haahahhaaa...shkamoo physics..ROGER MUNCASTER..TOM DUNCAN...COLLEGE ENGINEERING..NELCON...CHAND...niliapa...sitahitaji mateso kama yale..koz nlivotoka kwenye pepa nlikuwa sijui nilie au nifanyaje,tilia maanani hukawahi feli mtihani anzia uanze shule,nlikutana na jiwe la hatari..hata kupata ile D...nliona nimependelewa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Uelewe we nani kwa mfano. Unakariri ukajibie mtaani utaelewa baadae huko.
Hiyo principal ya kukariri ndio nilitumia chuo.... yaani ukimeza mzigo ndio umeelewa hivyo hayo mengine ya kutaka kuelewa muda nilikuwa sina
 
Uzuri kwenye huu uzi

Kila mmoja anajipambanua kuwa kasoma physics.

Ila kiukweli nusu yao wachangiaji humu hawajasoma physics wanaishia kutaja tu aaa mara physics ngumu mara nini....!!

Kuna watu wanashinda humu mchana kutwa usiku kucha unajiuliza huyu hiyo physics alisoma lini na kama aliisoma???anafanya kazi saa ngapi???.

Jamani tuacheni drama na ku pretend

Ni hayo tu kwa sasa.
 
Wewe uliisoma au hukuisoma Advanced Physics?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…