Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Hahahahahaaaaa.

Walimu wengi wa Advance huwa hawajali aisee, wanapiga mapindi uwe umeelewe haujaelewe yeye hajali
 
Hahahahahahaaaaaa

Umeelezea vizuri sana hii story
 
Sitasahau necta 2005 vifaa vya umeme viliponigomea Hadi msimamiz kunionea huruma nichukue data kwa jirani niendelee na swali kumbe jirani nae kapata data za uongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaa advance kazi yangu ilikua ni kukariri page za vitabu na maswali+majibu yake kwenye page husika...
Kwahio mtu akiniletea swali namtajia page alipolitoa halafu namtajia jibu kwa mbwembwe mwisho na swali linanishinda..
[emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Magnetism mpka naondoka adv, sija wahi igusa !


Wave , electronic, modern physcics, heat, ndo zilikuwa topic zangu,

Mungu si athumani
Nikapata F ,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Jamaa alisomaga Tosamaganga enzi hizo.....alikuwa hatari sana kwenye physics na maths
 
O level utakua umesome secondary ya ufundi wewe
 

Nakumbuka kuna kipind mambo yalizid kuwa magumu maswal hayachomoki .... daaaah ikawa nikipata mda nitafuta sehemu najificha nalia weee nikimaliza narud zangu darasan au dom
 
kuna ticha wangu wa physics yy alikuwa kila ukimwambia hujaelewa au ukiuliza swali anakujibu"physics is for sure boys not for everyone"
 
Hahaha mkuu mademu walikuwa wtaturespect sana enzi hizo[/l
SAnaaa .uzur madem walk
ua hawaniulz maswal weng walkua o level...na kwa kuwatsha zaid nikawa nachkua miwani ya macho kwa wahuni af navaa...wee bac ilkua ni kuwaokota kama maembe
 
Aisee staki kukumbuka, nilikuwa nacheza A, B+, B pepa za ndani na nje. NECTA ikaniumbua vibaya yaani nikapata herufi ya kwanza ya jina langu. 'S'
 
kuna ticha wangu wa physics yy alikuwa kila ukimwambia hujaelewa au ukiuliza swali anakujibu"physics is for sure boys not for everyone"
Hahaaa hii kauli nimekutana nayo siku ya pili nafika shuleni... teacher anakwambia PCB is not for everyone. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…