Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

wewe bwana kwani unajuaje mtu hajasoma,au kusoma physics unaona kitu cha ajabu sana
 
Hahahaha nomaaa sana huyu mnyamaaa acha kabisa
 
Ile ngoma bana "Physics" , hata mimi niliingia 5 na mbwembwe kama za mtoa mada. Ila ponea yangu ilikua ni Geophysics na heat, I end up with E ya Phyics.

Nikaona ujinga huu kumeza formula za kina Mgote, kwa speed ile ya mwanga, Chuoni nkagonga zangu Accounts mterezo kabisa with ka upper second kangu. Na maisha yanaendelea sasa.
 
Mimi nilisoma PCM. Rafiki wa dingi alikuwa mwalimu wa physics akaniambia ukitaka utoboe advance physics kuwa serious na practical ..niliufuata ushauri wakse na nikatoboa
Kwa wale Pond Boys vijana wa babu Nzoi watakubaliana na mimi kwamba practical ndio zilitutoa. Mimi mpaka kesho naamini kabisa practical ndio ilinipa E, vinginevyo nilikua nataga pale.

Ndo hapo nilipo amua kubadili muelekeo chuoni, mzee wangu mmoja alinishauri niachane na Physics chuo nipige Accounts nikamsikiliza. Sitokaa nijutie ushauri wa mzee huyu mpaka mwisho wangu.
 
Mkuuuu niseme test ya kwanza ya phy nilipata 28 ya 100.

Kusoma PCM PCB PGM ,alafu uliingia bila twiti ,Phy atabaki kua mchawi anaywhitaj dawa madhubuti
====
Ebu fikiria mtu hajasoma Advance(Physics), halafu anaenda mbele huko ,na physics yake ya O-level, anakumbana na Static (course II) baadaye Dynamics(course II) mwishowe anakumbana Thermodynamics(III). Hizi kozi ni application ya hiyo physics yenu ya Advance. Yaani mtu anajichimbia masaa 4 anashindwa kusolve swali ambalo ni mfano kwenye kitabu....Almanusura kichwa 'kipasuke'... Wakuu nadhani mnanielewa.... !
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo lazimauzungushe Mkuu
 
Hapo lazimauzungushe Mkuu
Tangu kipindi hicho nilitambua kuwa kumbe Mungu ni kweli uwatendea miujiza watu wanaomuamini. Yaani jamaa alichomoa /alifaulu masomo yale na sasa kabobea kwenye field inayohusisha hizo Applications za Advanced Physics.
 
Did Mr Doppler died??
Pole kwa familia yake.
Nimesikitika aisee.
 
Mkuu tukutane Shemsh Club leo maana nimekupm imeshindikana.

Utaniona mrefu mweusi nimenyoa kisahani.

Ngoja nipangilie nguo ya kutoka nayo leo then nitakujulisha nguo nilizovaa.
Gomz moja hiyo..hivi hapo huwa pamechangamka mkuu??
 
Physician in nature sisomu kwa mateso nasoma kidogo kwa uelewa kisha nafunika kitaby mtihan unafika nagonga banda tatizo kwa somo la physics kwa walio wengi ni connection kati ya kitu kinachozungumziwa na kitu halisi kwa zamani ilikuwa sawa lakin kwa sasa technolojia kidogo imekuwa hatusumbuki sana na hili somo wajanja tunaelewa
 
Wazee wa pond ( Pugu) .....pcm pcb wengi wameishia kwenye accounting
 
Huu uzi umenikumbusha practicals ambapo data zilikua hazileti majibu tarajiwa na kusababisha watu kufanya mapishi ya data.
 
Mr SUDI mzee wa cattle boma. Aisee alikua mzugaji htr ni story za ng'ombe na fomula ya asprin. Kasansa na Doppler walitusogeza knm japo amefika tupo second term. Ila Doppler kaikanyaga sana physics yye notes tu ukiuliza swali anakuambia utaenda kuelewa prepo dah!
 
Wazee wa pond ( Pugu) .....pcm pcb wengi wameishia kwenye accounting
Yaani mkuu kwenye uhasibu ni Dr & Cr deal done. Haina mbwembwe kama za projectile, chamsingi uwe smart kwa monthly reports.
 
Aisee yani hii thread kama inanihusu vile . kipindi Niko o level nlikua naipenda physics acha kabisa mpaka niliapa kabisa kama sita kwenda kusoma advance kama sita chaguliwa combination yenye physics . Basi bwana selection zilivo toka nikawa nimechaguliwa PCB nikaona huo ndo mchongo. Nlipo enda sasa kujiunga a level mzee baba nikawa nasoma physics kwa asilimia 80. Nikawa nawasovia washkaji maswali kinyama masela wangu wakawa wanakaza sana kwenye Chem na bio Mimi ni physics labda na chemistry sanasana ika bio kwaumbali. Nilisolve karibia maswali yote
ya physics kwenye vitabu kadhaa nikajiona Niko fiti kinoma. nikawa nasubili paper tu ilinije nilikamuekamue kiunyama. Heeeeee haki yamungu nilikamua paper 1 nikaja paper 2 nikamalizia na paper 3B ( practical) mwanangu nakwambia nilikua nazijua karibia practical karibia zote za phy Lakini ile sitakuja kuisahau. Ilinigonga mwanzo mwisho nilitika kwenye mtihani nimekua mpoleeeeeee nikawa sins swagga kabisa. Subiria matokeo sasa. Pale ndo niliamin kabisa physics ipo ili iaibishe watu- yaani sikuamin kabisa alicho nifanyia mnyama yule- ndugu zanguni nihatari kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…