Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Kaaga vijiweni mjikusanye mdanganyene Rwanda wa kawaida sana m23 ilisambalatishwa na tz
Ni wepesi mno,ninadhani ni kampeni ilipita kipindi fulani kwamba wao ni bora zaidi ya wengine kupitia warembo,Sasa watu wakaamini hivyo.
 
Vibaraka wa marekani hao watatishia utopolo wenzao
 
Respect yourself.
Huyo mleta mada ni Mtusi aliyekulia Tanzania miaka mingi. Kwahiyo siyo Mtanganyika huyo.
Watanganyika halisi ni sisi, Mimi, Jaji Warioba, Prof Kabudi, Marehemu Mtikila na G55.
 
Kagame ana wasiwasi kila saa utadhani anaoga nje.
 
Respect yourself.
Huyo mleta mada ni Mtusi aliyekulia Tanzania miaka mingi. Kwahiyo siyo Mtanganyika huyo.
Watanganyika halisi ni sisi, Mimi, Jaji Warioba, Prof Kabudi, Marehemu Mtikila na G55.

Hii trend ipo sana mitaani sio yeye tu. Watanganyika walio wengi wanaamini kila kitu cha nje ni bora kuliko chao hata mambo ya hovyo kabisa kama haya.

Mfano halisi, watanganyika wangapi wanavaa culture za Kenya mitaani afu niambie lini umewahi kuona mkenya au jirani yeyote anashobokea mambo ya bongo? Mitanganyika hovyo sana sisi.
 
Haya huwa nayaacha humuhumu,Mi nachojua ni Balozi tu.
 
Ni wepesi mno,ninadhani ni kampeni ilipita kipindi fulani kwamba wao ni bora zaidi ya wengine kupitia warembo,Sasa watu wakaamini hivyo.
Bongo idara iko vizur sana na wamefanikiwa sana hao Rwanda akitaka wawashe moto tiwazime
 
Daah mleta mada atakua hajui lolote kuhusu intelijensia. nchi yoyote ikikosa bandari(Landlocked) tayari inakua ni kama kiwete tu. Ndio maana Rwanda wanaiheshimu sana Tz. Maana ka nchi kama hako ukipiga lock bandari ya Dar na kuhujumu Mombasa, basi umekamaliza mchana kweupe. Wapinzani wa Kagame mpaka leo wapo kibao DRC , France,UK, France, USA na Belgium, hio intelligence ingekua kali si angekua amewamaliza?? Na bado hao wapinzani wanajua kuna siku watarudi Kigali pindi wazungu wakimchoka tu Kagame na wala sio mbali.
 
Tena wana kisasi nae kilo 7. Ndio maana jamaa anaogopa kung'atuka madarakani
 
Kama wanaujasusi wakutosha mbona tulisha wapiga Kongo, walipo zuga Kwa njia ya uasi wa M23, acheni Kuwa mwambafai sana,
ki jasusi achana nao wale mkuu,wale ni ma elite spy haswa,Tena hao mademu wao ndo wabaya zaidi kwenye kitengo Cha uspy , kagame kinacho mgharimu ni idadi ndogo ya jeshi lake basi,na ka nchi kadogo!!! ,jamaa ametrain haswa ma spy wa kutosha ,Kuna unit moja ya ma spy wanawake ,kitengo ambacho Paul k,anakitumiaga kuwafyeka wanaoingia kwenye anga zake (squared killer spy unit SKSU) hawa wanadada ni vyuma haswa ,machoni utawatamani wapole na warembo haswa,Ila ni manyang'au wa kutisha,wanakutoa upepo ndani ya dakika sifuli bila tabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha .eti naendazangu kijiweni kuisema serekali[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Umeandika usichokijua hata kidogo, pumbavu, M23 alipogwa na mizinga ya Watanzania, Kitu ambacho kila mtu anajua wewe mnyearwanda unakuja kukanusha leo
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…