Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #61
Hii ndio sababu mkuu,anaishi kimachale now dayz.Ukweli sina hakika kama hii ndiyo sababu inayomfanya asifanye ziara mara kwa mara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio sababu mkuu,anaishi kimachale now dayz.Ukweli sina hakika kama hii ndiyo sababu inayomfanya asifanye ziara mara kwa mara.
Na visasi havilipi kurejesha lossNiliwahi kuishi na wahanga wa vurgu za 1994 Mgusu Geita pale,walikuwa vijana wawili lkn 1994 bado walikuwa watoto wa kati ya 10-13, walikuwa wakisimulia namna walivyochomoka mpaka kuja TZ inastaajabisha sana.
Jamaa anasema alikuwa akitoka kitaa,kufika nyumbani anaona kuna watu wame wazingira wazazi wake,akajificha kichakani huku akichungulia.
Wakamuamlu mama yake amtwange mtoto aliye mgongoni,mama akawa na kigugumizi.
Wakawaingiza na kuipiga nyumba kiberiti 😭😭😭😭
Jamaa aliniambia baada ya kuona vile akakimbia kusiko julikana,ghafla akakuta kuna miili miingi lkn akagundua kuwa wauaji bado wako jirani,akajichanganya humohumo na yeye.
Na kweli,wauaji walikuja kukagua baadae wakasepa. Dogo baadae akachanja mbuga bila kujua anaelekea wapi,ndipo njiani akakutana na makundi ya wahanga wengine,naye akaunga tela mpaka TZ. Hajui nini kiliendelea kwa wazazi wake wala nduguze.
Haya mambo ya vita tuyaepuke sana.
Wachinjwe tuuIla mkuu kongo wanachinja watusi kama kuku na huna pa kwenda kushitaki
Hata wao wanachinja wahutu.Kesi hizo waga haziendi MAHAKAMANI wanamalizana kienyeji kwa mitutu ya bunduki hata ipite miaka mia moja waga visasi wanalipizana.Ndio utamaduni wa wanyarwandaIla mkuu kongo wanachinja watusi kama kuku na huna pa kwenda kushitaki
Wakina nani mkuu???Wachinjwe tuu
Wanyarwanda ni watu wa visasi maisha yao yote.Si wahutu au watusi,mtutu wa bunduki ndio huamua mshindi wa muda husika.Na visasi havilipi kurejesha loss
Binadamu wengi wanaamini katika visasiNa visasi havilipi kurejesha loss
StupidAcheni uoga kama mnaweza shikeni siraha mje Kigali tupambane, mlikimbizwa kwa siraha na nyie kama mnaweza rudini kwa siraha, hata Kagame akifa leo nyie mbwa hamna uwezo wa kuchukua madaraka ya [emoji1206] tulipigana tukawashinda na hatujasahau mlivyoua ndugu zetu tutaendelea kuwafuatilia popote mlipo duniani and we must eliminate all of you.
K@ma la mama yakoStupid
Umeona mkuu akili za wanyarwanda,hasa jamii ya kitusi.Ndio siku zote wanawazaga hivyo.Stupid
Mkuu matusi hayasaidii,either mkutane frontliine au kwenye sanduku la kura.Kwenye uchaguzi huruK@ma la mama yako
Mkuu hiyo code PAKA🤣🤣🤣 umetisha sana mzee.Rwanda waga hawarithishani madaraka,mtutu wa bunduki ndio waga unaamua mshindi.Kama Ivan ana mpango wa kurithi kutoka kwa afande,kama alivyorithishwa Kabila mdogo wa Congo DRC basi kazi ipo🤣🤣🤣Kuja kwa Kamala Harris na M23 walisitisha mapambano kwa kupewa bulungutu la hela na mzee wa ug
Yaani kwa kujionyesha kuwa wamewadhibiti wakaamua kuwapa hela ili waache vurugu kwa mda kiasi VP Harris anazunguka kwa majirani
Hii vita haitaisha na Paka ni muoga sana kwa kulinda maslahi ya familia yake ndio maana anataka kuwaweka madarakani akijua fika hawezi kuishi milele
Sote tutakufa ila wao wanakufa huku wakifikiri wanawatengenezea njia watoto wao kwa kutawala milele huku wakirithishana
Hata Qusey na Udey waliuwawa
Dahh Qusey na Udey wazembe tu,si wangekimbilia Jordan au Iran.Kuja kwa Kamala Harris na M23 walisitisha mapambano kwa kupewa bulungutu la hela na mzee wa ug
Yaani kwa kujionyesha kuwa wamewadhibiti wakaamua kuwapa hela ili waache vurugu kwa mda kiasi VP Harris anazunguka kwa majirani
Hii vita haitaisha na Paka ni muoga sana kwa kulinda maslahi ya familia yake ndio maana anataka kuwaweka madarakani akijua fika hawezi kuishi milele
Sote tutakufa ila wao wanakufa huku wakifikiri wanawatengenezea njia watoto wao kwa kutawala milele huku wakirithishana
Hata Qusey na Udey waliuwawa
[emoji1] [emoji1787] [emoji23]Mkuu hiyo code PAKA[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetisha sana mzee.Rwanda waga hawarithishani madaraka,mtutu wa bunduki ndio waga unaamua mshindi.Kama Ivan ana mpango wa kurithi kutoka kwa afande,kama alivyorithishwa Kabila mdogo wa Congo DRC basi kazi ipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walisema wanakufa kwenye nchi yao hata kama watauwawaDahh Qusey na Udey wazembe tu,si wangekimbilia Jordan au Iran.
Au hawakua na pa kwenda????Wameshagombana na nchi jirani zote????Walisema wanakufa kwenye nchi yao hata kama watauwawa
Laana ya shemeji zao waliowauwa
Unafirw@ , kenge wewe.K@ma la mama yako
Rafiran# na mama yakoUnafirw@ , kenge wewe.