mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa