Afande Majaliwa wa Precision Air ateguka bega akiokoa waliofukiwa kifusi Kariakoo

Afande Majaliwa wa Precision Air ateguka bega akiokoa waliofukiwa kifusi Kariakoo

Wote hamkuwa na ndugu aliyenaswa huko kariakoo. Mngekuwa na ndugu nadhani ungesifu jitihada zilizofanywa badala ya kukebehi.

Tuwape manusura pole na tuwaombee pumziko Jema waliopteza maisha
 
Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.

Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.

Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani

Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia

Pole kwake shujaa
He was doing his job, just kama wahusika wengine kuna risk zinakuja na kazi hiyo. Nothing special
 
Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.

Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.

Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani

Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia

Pole kwake shujaa
Mkuu hata kwenye maji aligongwa na mlango wa ndege akazimia. So ni ajali kazini mkuu
 
Kakifusi ka ghorofa nne wiki nzima npaka watu wanafiamo humo kwa kumosa hewa,niseme tu mimi binafsinimeona serikali ikifanya mzaha kwenye hili zoezi
Wakifukua unavyo taka wewe asinge salimika mtu.
 
Back
Top Bottom