Afande Majaliwa wa Precision Air ateguka bega akiokoa waliofukiwa kifusi Kariakoo

Afande Majaliwa wa Precision Air ateguka bega akiokoa waliofukiwa kifusi Kariakoo

Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.

Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.

Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani

Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia

Pole kwake shujaa
Ana nyota ya samaki kupiga mbizi tu....
pole sanaa MUNGU ampe nafuu apone....
 
Ukiacha uongo uongo wake mzee kasim huwa hana noma na mtu.sijawahi kusikia akitukana waounzani au waluo na mawazo kinzani
Mzee kasimu huwa nahisi anatumwa kusema uongo na sirikali maana kuna kauli tata wa kutoa anakosekana sio prezda wala deputy
 
Maisha magumu na umasikini ulikithiri nimeamini hufanya akili kutokuwa na uwezo mzuri kufikiri, moyo kujaa chuki na wivu uliopitiliza bila sababu.
Ukipitia comments za watu ndo unajua kuna watu wanaishi maisha magumu hadi unawaonea imani
 
Back
Top Bottom