De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
😢 Inauma sana! Unakufa ukiwa unaona kabisa nakufa.Kuna mmoja ameopolewa kuwa maiti kwa kukosa pumzi
Ingekuwa ghorofa kubwa zaidi tungepoteza watu wengi sana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😢 Inauma sana! Unakufa ukiwa unaona kabisa nakufa.Kuna mmoja ameopolewa kuwa maiti kwa kukosa pumzi
Ana nyota ya samaki kupiga mbizi tu....Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Mzee kasimu huwa nahisi anatumwa kusema uongo na sirikali maana kuna kauli tata wa kutoa anakosekana sio prezda wala deputyUkiacha uongo uongo wake mzee kasim huwa hana noma na mtu.sijawahi kusikia akitukana waounzani au waluo na mawazo kinzani