Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo, weka pichaUnamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
YeahKwa hiyo yeye ndo ana nyota ya uokozi, kila pahala penye maafa ya yupo.
kenge hasikiagi mpaka atokwe damu kwenye masikioMpaka afe ndo atulie
UumbwaaaAngeteguka kiwiko ingependeza.
Kuteguka bega haishauriwi kiafya.
Mjitahidi muwe mnateguka viwiko tu.
Cc: DR Mambo Jambo Mbaga Jr Poor Brain
Alijitahidi lakini alivuja jasho kiukwliMwakinyo ndio kanichekesha aliingia kwa mkwara kama van Dame akajifanya anaongea na simu nduki hajarudi tena
Sio ujinga tu maana mjinga hajui kabisa anachofanya, Huyu anajua kabisa anachokisema 😆😆Sijawahi kutana na jamii ya watu wajinga kama watanzania
A hawa ndo wamejaa jf sikuhizi wanaombwa na ushauri na watu wanapokea huo ushauriAisee yaani mtu ana kebehi wahokoaji?
NakaziaPicha iko wapi sasa
Wabongo mnajijua wenyeweAlipiga mbizi kwenye kifusi
Pole kwake mungu amjalie sia njema