Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Sio kila anayeonekana anaweza kusaidia 'aliitwa'Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Uko sahihi alikuwa kazini,lakini kikosi chao wapo wengi,zali lilimdondokea bahati mbaya bega kwachuSio kila anayeonekana anaweza kusaidia 'aliitwa'
Kama huyo dogo yupo zimamoto na uokoaji ni jukumu lao la uokozi na sio kwa sababu ana "uspesho" wa kuitwa ndo a-make appearance.
Ni simple and clear, yupo zimamoto na uokoaji, janga limetokea wamechukuliwa yy na askari wenzake wa zimamoto kwenda kushughulikia tukio
Nasikia na Ali kiba naye kajipeleka kujaribu kutindua zege, kagonga nyundo tatu, akachoka akakimbia que que que 😁Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Pole kwakeUnamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa