Ataiweka akirudi toka nyumbani.Picha iko wapi sasa
He was doing his job, just kama wahusika wengine kuna risk zinakuja na kazi hiyo. Nothing specialUnamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Kiwiko ndo nini bebeAngeteguka kiwiko ingependeza.
Kuteguka bega haishauriwi kiafya.
Mjitahidi muwe mnateguka viwiko tu.
Cc: DR Mambo Jambo Mbaga Jr Poor Brain
Hahahaha eti Kama Van dame,ile ni kazi ya zege sio kazi ya kupigana na vizee vya kizunguMwakinyo ndio kanichekesha aliingia kwa mkwara kama van Dame akajifanya anaongea na simu nduki hajarudi tena
π πππwew sio mbongo???Wabongo mnajijua wenyewe
Mkuu hata kwenye maji aligongwa na mlango wa ndege akazimia. So ni ajali kazini mkuuUnamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision.
Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji.
Sasa hii ajali ya uokozi kila aliyeonekana anaweza kusaidia aliitwa akiwemo afande Majaliwa,katika jitihada za uokozi amejikuta akiteguka bega la mkono wa kulia na kurudi nyumbani
Kifusi sio maji,mwakinyo mwenyewe kakimbia
Pole kwake shujaa
Mkuu unaita hilo zali?Uko sahihi alikuwa kazini,lakini kikosi chao wapo wengi,zali lilimdondokea bahati mbaya bega kwachu
Nahamia Malawi niko jirani π€£π€£π πππwew sio mbongo???
Ufike salamaNahamia Malawi niko jirani π€£π€£
Wakifukua unavyo taka wewe asinge salimika mtu.Kakifusi ka ghorofa nne wiki nzima npaka watu wanafiamo humo kwa kumosa hewa,niseme tu mimi binafsinimeona serikali ikifanya mzaha kwenye hili zoezi