Afande Rama aachiwa huru, Jamhuri yashindwa kutoa uthibitisho. Amwaga chozi mahakamani

Afande Rama aachiwa huru, Jamhuri yashindwa kutoa uthibitisho. Amwaga chozi mahakamani

Afande Rama ameachiwa huru baada ya hakimu wa mahakama hiyo, Khamis Simai kudai kuwa mshtakiwa hana hatia chini ya kifungu cha 220 ya sheria namba 7 ya mwaka 2018.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila mkuu mahakama ni kucheza na ushahid tuh.yaani sio sehem ya haki inategemea unayemshtak kajipanga vip na ww unaeshtak umepanga vip ushahid.hakuna kuhukum kwa hisia.ndio hapa unakuta ile kauli ya kua si kila anaeenda jela anahatia
 
Mahakama ya Mkoa wa Vuga mjini Unguja imemwachia huru mshtakiwa Ramadhan Ali maarufu kama Afande Rama aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuingiliwa kinyume na maumbile.

Afande Rama ameachiwa huru baada ya hakimu wa mahakama hiyo, Khamis Simai kudai kuwa mshtakiwa hana hatia chini ya kifungu cha 220 ya sheria namba 7 ya mwaka 2018.

Kesi hiyo namba 59 ya mwaka 2023 ilianza kusikilizwa mahakamani hapo ambapo jumla ya mashahidi tisa kutoka upande wa mwendesha mashtaka waliwasilisha ushahidi wao ambao hawakuweza kumtia hatiani mtuhumiwa.

Ramadhani ambaye ni mtumishi wa Jeshi la Polisi, alishtakiwa baada ya kusambaa kwa video katika mitandao ya kijamii zilizodhaniwa kuwa ni yeye ambaye alionekana akishiriki tendo la kuingiliwa kinyume na maumbile.



Pia Soma:
Sorry,
Kaachiwa kwamba sio yeye wa kwenye zile video?
Au ni yeye ila ki huko kwao kufanya vile sio kosa?

Alieelewa hapa anisaidie
 
Sorry,
Kaachiwa kwamba sio yeye wa kwenye zile video?
Au ni yeye ila ki huko kwao kufanya vile sio kosa?

Alieelewa hapa anisaidie
Ameachiwa kuwa hana hatia kwa sheria ya kifungu alichoambiwa kavunja. Sijui umeelewa?
Screenshot_20230717-234100_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom