Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
sasahivi wahakikishe wanamzalisha kabisaaaa maaneeneeeeer zake laanatulayhi yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We monopoly inc wewee..!!!Kuna mtu namsubiri aje hapa
Akija ntawaambia
Shabiki wa haya Mambo toka songea
Dokta hana ubaya.Hakueleweka tu.Ni kwamba vidole vikubwa viwili vilikuwa vinaelea tu.Havikugusa ukuta wowote.Pata picha.Daktari alitakiwa auelezee umma uwazi unatakiwa uwe cm ngapi na usizidi cm ngapi,hapo ingekuwa kitaalamu zaidi🤦🤦😁😁😁
Aiseee 😳Dokta hana ubaya.Hakueleweka tu.Ni kwamba vidole vikubwa viwili vilikuwa vinaelea tu.Havikugusa ukuta wowote.Pata picha.
Aaaa wapi!Upewe tu SLP yake umuandikie salamu zako.Kituo chake cha kazi wapi huyo afande Rama nikamsalimie
🤣🤣😥😥😥ila Daktari!eti amegundua Kuna uwazi sehemu za nyuma,kwani Kuna binadamu Hana uwazi sehemu za nyuma?hii nchi ngumu sana😁
Utarikodiwa mkuu, ianze kesi ingine🤣Kituo chake cha kazi wapi huyo afande Rama nikamsalimie
Kawaida tigo hua imebana, ndomana wala tigo hutumiaga KY ili dushe ipenye kwenye huo mbanano. Sasa tigo ya Afande haijabana, iko wazi kama shimo la panya hata bila KY dushe inapenya kiulaini tu😥😥😥ila Daktari!eti amegundua Kuna uwazi sehemu za nyuma,kwani Kuna binadamu Hana uwazi sehemu za nyuma?hii nchi ngumu sana😁
Miaka hii usiamini jambo kwa ushahidi wa video ya mtandaoni.Afadhali iwe ni kamera za majumbani. Kwenye mtandao kuna vijana wataalamu wakubwa wa kughushi jambo la uongo kulifanya kweli.Sorry,
Kaachiwa kwamba sio yeye wa kwenye zile video?
Au ni yeye ila ki huko kwao kufanya vile sio kosa?
Alieelewa hapa anisaidie
ulikua mtego kwa serikali znz kwani wangemfunga tu ingekua balaa kutoka mtaifa makubwa ,kingine hata mkuu alisema waacheni wakubwa wafanye ila watoto wasiharibiwe[emoji1787][emoji1787]hapo ndo kesi iliishaKesi za jinai si za kukurupuka. Kuthibitisha tuhuma beyond reasonable shadow of doubts, si mchezo wa kitoto. Usishangae Polisi kuzunguka Miaka mahakamani wakidai upelelezi haujakamilika.
Kweli aisee.Miaka hii usiamini jambo kwa ushahidi wa video ya mtandaoni.Afadhali iwe ni kamera za majumbani. Kwenye mtandao kuna vijana wataalamu wakubwa wa kughushi jambo la uongo kulifanya kweli.
Inawezekana huyo afande amewahi kutajwa kwa jambo hilo halafu akatokea mtoto muhuni akamtengenezea mchezo. Hapo ushahidi haukubaliki
Mshana Atakuwa KazeekaMkuu Mshana samahani kama ntakuchukiza,hivi kwanini siku hizi unapenda kurudia maneno ya post na kuyaweka kwenye comment!? Je ni content zimeisha ila tu unataka uonekane umecomment?!..back in the days ulikuwa na madini sana katika post na comments zako, i miss the old u,,ww unaweza kuchukulia kawaida ila kuna watu tunakufollow unatunyima madini muhimu tuliyokuzoea nayo..Please don't be like this bhn
cocastic popote ulipo.Kuna mtu namsubiri aje hapa
Akija ntawaambia
Shabiki wa haya Mambo toka songea