Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye ndio. π¢un¶ wake mwenyewe.Ni yeye bhana
Mkuu Mshana samahani kama ntakuchukiza,hivi kwanini siku hizi unapenda kurudia maneno ya post na kuyaweka kwenye comment!? Je ni content zimeisha ila tu unataka uonekane umecomment?!..back in the days ulikuwa na madini sana katika post na comments zako, i miss the old u,,ww unaweza kuchukulia kawaida ila kuna watu tunakufollow unatunyima madini muhimu tuliyokuzoea nayo..Please don't be like this bhnAfande Rama ameachiwa huru baada ya hakimu wa mahakama hiyo, Khamis Simai kudai kuwa mshtakiwa hana hatia chini ya kifungu cha 220 ya sheria namba 7 ya mwaka 2018.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni Yeye, ila akisema sio yeye unafanyaje?Ni yeye bhana
Kinachofuata ni fidia nzito kwa kumuingiza vidole... atarudishwa kazini na fidia ya kuingiliwa faragha yake anaweza kudai.
... tena wakatangaza kwenye media.Kinachofuata ni fidia nzito kwa kumuingiza vidole
Yaani nimecheka kufa..[emoji23]Ila mkuu mahakama ni kucheza na ushahid tuh.yaani sio sehem ya haki inategemea unayemshtak kajipanga vip na ww unaeshtak umepanga vip ushahid.hakuna kuhukum kwa hisia.ndio hapa unakuta ile kauli ya kua si kila anaeenda jela anahatia
Hupaswi kuwa na "liuwazi"!Unatakiwa uwe "tightly tight" like wizard!🙏😂😂😂😂😂😂😂😥😥😥ila Daktari!eti amegundua Kuna uwazi sehemu za nyuma,kwani Kuna binadamu Hana uwazi sehemu za nyuma?hii nchi ngumu sana😁
Hamna kitu nchi hii ushoga ulikuwepo na utaendelea kuwepoHalafu mtu aje aseme upinde Tanzania unapingwa
Daktari alitakiwa auelezee umma uwazi unatakiwa uwe cm ngapi na usizidi cm ngapi,hapo ingekuwa kitaalamu zaidi🤦🤦😁😁😁Hupaswi kuwa na "liuwazi"!Unatakiwa uwe "tightly tight" like wizard!🙏😂😂😂😂😂😂😂