Afande Rama aachiwa huru, Jamhuri yashindwa kutoa uthibitisho. Amwaga chozi mahakamani

Afande Rama aachiwa huru, Jamhuri yashindwa kutoa uthibitisho. Amwaga chozi mahakamani

Itakuwa wameogopwa wazungu au precedence ya kuwa wapimwe watu wote vidole
 
Nimekaa njee ya nchi yangu naiangalia inakwendaje ili niamue kama nami naenda au laa
 
KUTOKANA NA UJIO WA WA WAWEKEZAJI TOKA ARABUNI.
VISIWANI WAMEJIPANGA NA KILIMO CHA MAPAPAI
 
Afande Rama ameachiwa huru baada ya hakimu wa mahakama hiyo, Khamis Simai kudai kuwa mshtakiwa hana hatia chini ya kifungu cha 220 ya sheria namba 7 ya mwaka 2018.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mshana samahani kama ntakuchukiza,hivi kwanini siku hizi unapenda kurudia maneno ya post na kuyaweka kwenye comment!? Je ni content zimeisha ila tu unataka uonekane umecomment?!..back in the days ulikuwa na madini sana katika post na comments zako, i miss the old u,,ww unaweza kuchukulia kawaida ila kuna watu tunakufollow unatunyima madini muhimu tuliyokuzoea nayo..Please don't be like this bhn
 
Ushoga ni Spirits ambazo zinamshambulia mtu na kumwadhibu bila yeye kujua.

Ndio maana unaweza kuona ukanda flani wa nchi una Mashoga wengi na mwingine hauna.

Unaposikia kitu kama Jinni Mahaba au Popobawa, hizo ndio Spirits zinazo sababisha kasoro za sodomy kwa mtu au jamii husika.

Shoga hawezi kuacha Ushoga kwa ushauri au kunyooshewa mikono hata iweje, labda kwa kuogopa aibu kwa muda kama itakayomtokea Afande ila roho ya Ushoga itabaki pale pale. Akipata mshirika wake wa siri kazi inaendelea kama kawaida.

Ushoga unatibiwa kwa spiritual healing tu.
Kama anataka kuacha Ushoga kwa sasa Anaweza kumwona Mchungaji Mwakasege hata kwa siri na atapokea uponyaji. Kwa kumfanyia Maombi ili Mungu aziondoe hizo pepo chafu mwilini.
Sio mbaya hata akimwona Mchungaji Mwamposa anaweza kumsaidia.
La sivyo atabaki Afande Rama yuleyule.
 
Ila mkuu mahakama ni kucheza na ushahid tuh.yaani sio sehem ya haki inategemea unayemshtak kajipanga vip na ww unaeshtak umepanga vip ushahid.hakuna kuhukum kwa hisia.ndio hapa unakuta ile kauli ya kua si kila anaeenda jela anahatia
Yaani nimecheka kufa..[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom