Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Naweza kupata chanzo cha hii habari yako?
Mkuu hii ya wao kutobolewa ili kupigwa muhuri ina ukweli. Cause kuna mwingine naye nimemsikia majuzi anaeleza hii.Ngoja nijarbu kukutafutia then ntaiweka hapa. Ila nakumbuka hata kwenye blog ya DJ fetty iliwekwa hii habari
HABARI NA MATUKIO: MAHOJIANO YA BW. SAMWELI TENGA AMBAYE ALIKUWA MWANACHANA WA FREEMASONS KATIKA KIPINDI CHA NJIA PANDA YA CLOUDS FM, JIJINI DAR
Hebu jaribu kupita hapa kuna saut za huyu jamaa alikuwa akzungumizia hyo ishu
lini Afande sele aliwahi kuwa Islamu..?Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula na bidhaa zote pamoja na teknolojia hutegemea jua ambalo ndio moto, kwenye uzalishaji wake au uendeshwaji wake, pia jua lipo kila mahali basi hilo ndio litakuwa Mungu,
pia amesema ameacha wosia kuwa atakapoufa achomwe moto
msikilize hapa kwa undani zaidi
https://www.facebook.com/
kama "unazan" bas hakuna tatizoNazan anawakilisha mawazo ya watu wa ACT
Kwani wewe hilo neno "bas" ni neno la lugha ipi??kama "unazan" bas hakuna tatizo
ni neno la lugha ipi ilo..?
lete jibu ndo ulete swal.....mafankuro...Kwani wewe hilo neno "bas" ni neno la lugha ipi??
We mama acha ukali kama upo mwezini, USIJITIE kuleta ufundi huu mchezo hautaki hasiralete jibu ndo ulete swal.....mafankuro...
si tatizo lako yamkin hata baba yako unaweza ukamfanisha na dada yako, ni tatizo la ubongo wako kukubali kuchanganywa pamoja na moshiWe mama acha ukali kama upo mwezini, USIJITIE kuleta ufundi huu mchezo hautaki hasira