Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Naweza kupata chanzo cha hii habari yako?
Ngoja nijarbu kukutafutia then ntaiweka hapa. Ila nakumbuka hata kwenye blog ya DJ fetty iliwekwa hii habari
HABARI NA MATUKIO: MAHOJIANO YA BW. SAMWELI TENGA AMBAYE ALIKUWA MWANACHANA WA FREEMASONS KATIKA KIPINDI CHA NJIA PANDA YA CLOUDS FM, JIJINI DAR
Hebu jaribu kupita hapa kuna saut za huyu jamaa alikuwa akzungumizia hyo ishu