Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Naskia kuna msemo unasema "no research no right to speak"Aisee ndio leo namsikia huyu shekhe, BTw Naomba radhi post yangu kama itakua haina maadili.
Mzima tele, na ametangaza kurudi tz soon.Hivi MangeKimambi Kisha kufa? Si naye alisomewa dua?
Kumbe kweli uchawi hauvuki bahariMzima tele, na ametangaza kurudi tz soon.
Dua la kuku halimpati mwewe
Afande Sele did Nothing wrongMy message is sent, if you wanna change then all the best and if you don't want then go ahead!
Kila la kheri ndugu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na akifa anachomwa moto.maana afande alisema kuwa akifa achomwe moto.afande awe makini waislamu wanafuga majini watamrushia yanywe damu yakeView attachment 1730129
Baada ya kujirekodi akimtukana Mungu, hatimaye Afande Sele amesomewa dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu amchukue kabla ya Ramadhan.
Sheikh kampaisha sana Afande SeleShekhe mnafiki huyo eti kabla ya Ramadhani ana mpangia Mungu?
Bogus ni tusi?
Afande Sele si anakula 🐷🐖🐽[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na akifa anachomwa moto.maana afande alisema kuwa akifa achomwe moto.afande awe makini waislamu wanafuga majini watamrushia yanywe damu yake
Shekhe bwege kweli huyoSheikh kampaisha sana Afande Sele
acha kuikashfu bangi mzeeBaadala ya kuomba dua mashekhe watoke jela wana angaika na mvuta bangi kweli wana akili
Basi akirudi watamrogaKumbe kweli uchawi hauvuki bahari
adjective BOGUSKumuita hilo neno co vizuri mkuu, halafu wewe ni muislamu kama cjakosea unajua zuri na baya
Mkuu sikuwa na maana ya kukashifu maana me ni mwana chama tangu mwaka 1990 adi sasa nina miliki ka bustani kadogo ndani ya himaya yangu kwa ajili ya mboga na matumizi mengineacha kuikashfu bangi mzee
Hah hah hahh
ohoo!! heshima yako!!!. sijawahi kuipika ukipika mboga yake vipi ina stimu?Mkuu sikuwa na maana ya kukashifu maana me ni mwana chama tangu mwaka 1990 adi sasa nina miliki ka bustani kadogo ndani ya himaya yangu kwa ajili ya mboga na matumizi mengine
Mtu na kamusiadjective BOGUS
- not genuine or true (used in a disapproving manner when deception has been attempted).
"a bogus insurance claim"