Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Si mara ya Kwanza kutokea ligi za namna hii
Sheikh mkuu wa bandali ya salama alimwambia Mange kuwa angenyamazisha na matusi yake kwa serikali. Je umesikia tena kelele za Mange Kimambi akiitukana serikali?
 
Dua la kuku siku zote halimpati mwewe. Sijui kama Mungu ana muda na mambo kama haya. Anawajua vichaa na wenye akili timamu na wote kawaumba na kuwajaalia yeye. Mnahangaishwa na nini? Kwanini hamjifunzi toka kwa Salman Rushdie jamani? Hamkumbuki kuwa hata akina Mtume Paulo na Sayyidna Omar waliyafanya anayofanya Afande? Mna matatizo nyie. Kwani msiombe angolewe badala ya kumtakia mauti? Usishangae huyu ustaadh akavuta na kumuacha Afande akidunda. Hii inataka busara ya hali ya juu wanangu.
 
Asipokufa kabla ya Ramadhan ndio atatukana sana.. sisi wakristo tumemsamehe kwani hajui atendalo
 
View attachment 1730129

Baada ya kujirekodi akimtukana Mungu, hatimaye Afande Sele amesomewa dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu amchukue kabla ya Ramadhan.

Sasa watu wa hivi wataweza kuing’oa israel ya mungu wa kweli katka mashariki ya kati kweli??

Maana waisrael pamoja na kuchukiwa na waarabu pande zote hawajawai kuwafungia dua waarabu walovamia maeneo ya mababu zao[emoji23]
 
Naskia kuna msemo unasema "no research no right to speak"

Just google "Sheikh kishki on Magufuli" or "sheikh kishki in Tanzania"

Huyu mtu kutokana na analofanya anayo connection kubwa sana hapa nchi kwa serikali kuanzia ya Kikwete mpaka hii iliyopo. Mlezi wa taasisi yake ni Mzee Ali Hassan Mwinyi na hufanya mashindano yake evry year na mwaka mmoja mgeni rasmi alikuwa ni Muheshimiwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Nadhani mwaka jana tu kwa sababu ya Corona ndio event zake hazijafanyika.

Anyway, one love mkuu!
Amekuwa na jazba mno Sheikh...sijui vile nimewaona kina Mazinge pale maana wale nao wazee wa kiki!
 
Aliesema Mange kimambi atakufa sijui yupo wap.. Ila tumuache Mungu ajibu maombi.
 
Hili jambo ni la hatari. Linaweza shawishi mauaji to prove a point sababu ya ushindani.

Kama MUNGU amekasirika atamuadhibu kwa namna anayoona YEYE na ujumbe utafika. Si lazima kumshawishi mbele ya makamera.
Mungu hana sababu ya kukasirika.

Ikiwa ombwe la hao Waamini ni Afande Sele Kufa basi watapata kadiri ya Maombi yao.

Si kwa sababu Mungu amekasirika la Hasha,ni kwa sababu wao wamemlilia Mungu...

Baadae wataulizwa:

Haya kwa nini mlimuua mtu huyu?

Kisha watahesabiwa nao mambo ambayo kwayo nao walitakiwa kufa...

Responsible consequences....

God is always Love and LOVE IS ALL WHAT GOD IS.

......
 
View attachment 1730129

Baada ya kujirekodi akimtukana Mungu, hatimaye Afande Sele amesomewa dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu amchukue kabla ya Ramadhan.
Haya ndiyo Mtume aliyasema, yaani watu wajinga wajinga wanaisemea dini na kufanya maamuzi kama haya. Sasa sijui huu ujinga wameuota wapi, Mtume alikuwa anawapa nasaha na kuwaombea kheri Allah awaongoze watu hawa.

Ukiangalia kwa jicho la kielimu jambo alilofanya Afande Sele limekubikwa na ujinga wake ndiyo maana baadae nimekuja kusikia kwamba ameomba radhi.
 
Hakuna laana ya binadam
Inaonekana huijui laana mzee. Siyo tu binadamu wanalaani, bali mpaka wanyama, na viumne vya baharini na miti pia hulaani.

Laana ikiwa ya haki haianguki patupu, ukipigwa nayo haikukosi, ndiyo maana huwa tumahimizwa sana tusipende kulaani laani hovyo.Mifano ya watu waliopewa laana na watu iko mingi sana.
 
kama ni ushirikina mungu wao ndiye aliyekusudiwa na afande sele? 😂😂😂
alafu shehe kama huyo anadai anamswalia mungu! Hawa ndio watu wanaopotosha watu wa mungu na unakuta ana mijitu mingi tu nyuma inamshangilia! Ujinga ni mzigo sana
 
Back
Top Bottom