zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kigoma, alikua na ratiba ya mkoa mwingine ila alifanya mkutano kazuramimba. Mbona hakupigwa mabomu?Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Hata maiti ya mfu inajua CCM inabebwaMagufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Lisu hashauriki nawahurumia wana usalama wa Chadema waliopewa kazi ya kumlindaMagufuli umeshaona anafanya mikutano kwenye giza wakati muda wa campaign mwisho saa 12 jioni.
Lissu kwakweli ni tatizo.
HGL Higher Government LeadersKuna tofauti kubwa kati ya...
Mgombea Urais na Rais
Mropokaji na Mtendaji
HGL, HKL na PCM
Mpenda sifa na Mtu asie jikweza.
Sasa tafuta ujue Lissu yupo kundi gani.
Mtu kasoma HGL anataka kutusumbua sisi. Hebu muambieni Urais sio kubwabwaja tu. Yeye amefanyia jimbo lake nini mpaka leo tumuamini kuwa Rais. Kila siku ana lazimisha kuwa nilazima awe Rais kwani hizo kura anajipigia mwenyewe au yeye ni Mungu mpaka alazimishe watu kuwa yeye ndie Rais iwe isiwe.
Mkumbusheni wanaopiga kura na kuamua ni Watanzania so ASITUFOKEE.
Bado ninatafuta mahali ambapo Lissu amenadi wa BUNGE na MADIWANI wa chama chake akiwa kwenye mikutano yake.
Hapa ndio ninafikia na kuona kuwa huyu mtu hayupo serious kabisa ana umimi mwingi sana ndio maana sioni sera zake zikiwa na mashiko zaidi ya kutuonyesha Ungwini wake tu.
Watanzania hatutaki sheria..... Sheria ibakie kwako na ndugu zako sisi tunataka KIONGOZI anae toa sera zinazotekelezeka.
Jamaa ni tatizoLisu hashauriki nawahurumia wana usalama wa Chadema waliopewa kazi ya kumlinda
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.
Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!
Kazi yako itakuwa rahisi.
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.
Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!
Kazi yako itakuwa rahisi.
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.
Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!
Kazi yako itakuwa rahisi.
Eti "raisi" , hata kuandika hujui!Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Kama ni rais mbona anagombea urais? Unaweza kugombea cheo ulichonacho?
Hawa watawala wamejisahau sana,. Wanaendelea kuwachokonoa wananchi. Hajui kuwa umma ni sawa tu na "kifutu hatari" aliyesinziaJitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.
Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!
Kazi yako itakuwa rahisi.
Ila nimekupuuza sana kumbe wewe yehodaya ni mjinga kiasi hiki kama in rais anagombea nn si akae huko ikulu anashinda anapiga magoti huko ya nn kama ni raisMagufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Yote haya afande Sirro anayaelewa vizuri.Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.
Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!
Kazi yako itakuwa rahisi.
Njaa mbaya sana.Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Yote haya afande Sirro anayaelewa vizuri.
Unamweleza mtu anayefanya kazi aliyopangiwa kuifanya.
Asipoifanya au akaonekana anaifanya si atakuwa yeye sio mtu wa shukrani kwa fadhira alizopewa?
Lililo muhimu hapa, ni kwa waTanzania kufahamu maana ya manyanyaso haya anayofanyiwa Lissu, na waamue kwa umoja wao kuyakataa.
Lissu amedhalilishwa sana, tokea huko nyuma. Sasa waTanzania tukatae kwa pamoja aina hii ya utawala wa kunyanyasa wasiokubaliana nao.
"Kuchokoza watu" ndio kufanya nini?lissu hanyanyaswi na mtu,msikuze mambo.
lissu anachokoza watu,halafu shield yake ni ujuzi wa sheria.
huo sio ujanja ni uhuni.
Yaani wewe umetumia PCM kama kigezo cha thinking capability ya mtu...unaijua PCM wewe? Hivi umeamua kuwadhalilisha Wapcm?wewe hujui wala hujawahi kusoma hyo Combination..kama PCM yako ni kipimo cha hekima na busara..Mwlm Nyerere alisoma PCM?? Msiandike ujuha humu!!!Kuna tofauti kubwa kati ya...
Mgombea Urais na Rais
Mropokaji na Mtendaji
HGL, HKL na PCM
Mpenda sifa na Mtu asie jikweza.
Sasa tafuta ujue Lissu yupo kundi gani.
Mtu kasoma HGL anataka kutusumbua sisi. Hebu muambieni Urais sio kubwabwaja tu. Yeye amefanyia jimbo lake nini mpaka leo tumuamini kuwa Rais. Kila siku ana lazimisha kuwa nilazima awe Rais kwani hizo kura anajipigia mwenyewe au yeye ni Mungu mpaka alazimishe watu kuwa yeye ndie Rais iwe isiwe.
Mkumbusheni wanaopiga kura na kuamua ni Watanzania so ASITUFOKEE.
Bado ninatafuta mahali ambapo Lissu amenadi wa BUNGE na MADIWANI wa chama chake akiwa kwenye mikutano yake.
Hapa ndio ninafikia na kuona kuwa huyu mtu hayupo serious kabisa ana umimi mwingi sana ndio maana sioni sera zake zikiwa na mashiko zaidi ya kutuonyesha Ungwini wake tu.
Watanzania hatutaki sheria..... Sheria ibakie kwako na ndugu zako sisi tunataka KIONGOZI anae toa sera zinazotekelezeka.