Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu

Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu

Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Kigoma, alikua na ratiba ya mkoa mwingine ila alifanya mkutano kazuramimba. Mbona hakupigwa mabomu?

Anatoa rushwa ya kampeni kinyume na maadili ya uchaguzi. Unatoaje pesa za barabara wakati wa kampeni? Umemuona sirro akimkemea.

Amehutubia Kilugha sana huko kanda ya ziwa from Busega to Katoro ila mbona hajaitwa na NEC au Sirro?

Be objective mkuu, hayo sio makosa?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya...
Mgombea Urais na Rais
Mropokaji na Mtendaji
HGL, HKL na PCM
Mpenda sifa na Mtu asie jikweza.

Sasa tafuta ujue Lissu yupo kundi gani.
Mtu kasoma HGL anataka kutusumbua sisi. Hebu muambieni Urais sio kubwabwaja tu. Yeye amefanyia jimbo lake nini mpaka leo tumuamini kuwa Rais. Kila siku ana lazimisha kuwa nilazima awe Rais kwani hizo kura anajipigia mwenyewe au yeye ni Mungu mpaka alazimishe watu kuwa yeye ndie Rais iwe isiwe.
Mkumbusheni wanaopiga kura na kuamua ni Watanzania so ASITUFOKEE.

Bado ninatafuta mahali ambapo Lissu amenadi wa BUNGE na MADIWANI wa chama chake akiwa kwenye mikutano yake.
Hapa ndio ninafikia na kuona kuwa huyu mtu hayupo serious kabisa ana umimi mwingi sana ndio maana sioni sera zake zikiwa na mashiko zaidi ya kutuonyesha Ungwini wake tu.
Watanzania hatutaki sheria..... Sheria ibakie kwako na ndugu zako sisi tunataka KIONGOZI anae toa sera zinazotekelezeka.
HGL Higher Government Leaders

Wengine mjenge madaraja tu wakubwa
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.
Mahera kwa majukumu yake ya sasa aongozwe na Mungu ili ajizuie na vishawishi vya kuchagua upande.
Msajili wa Vyama vya Siasa nae aache kulipuka kwa chuki na hasira ili Mungu amwongoze apone ili asiituharibie uchaguzi huu.
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.
Mahera kwa majukumu yake ya sasa aongozwe na Mungu ili ajizuie na vishawishi vya kuchagua upande.
Msajili wa Vyama vya Siasa nae aache kulipuka kwa chuki na hasira ili Mungu amwongoze apone ili asiituharibie uchaguzi huu.
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Neno hilo la kujenga upendo liwafikie pia Chaku na kijana wao Mahera ili Mungu awabariki.
Mahera kwa majukumu yake ya sasa aongozwe na Mungu ili ajizuie na vishawishi vya kuchagua upande.
Msajili wa Vyama vya Siasa nae aache kulipuka kwa chuki na hasira ili Mungu amwongoze apone ili asiituharibie uchaguzi huu.
 
mimi nasubiri tarehe 31 mwezi huu nijue lissu atakuwa anaelekea belgium au atarudi kwao singida?

au atakuwa twitter akifundisha sheria namna ya kukataa wito polisi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sirro tii kiapo usitii maagizo toka mgombea wewe unatii mamlaka halali toka kwa wananchi walichoamua...huna mamlaka kuchagua nani awe Rais ...just be fair ....utashinda ....!! Acha unafiki wala kujikomba
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Hawa watawala wamejisahau sana,. Wanaendelea kuwachokonoa wananchi. Hajui kuwa umma ni sawa tu na "kifutu hatari" aliyesinzia
 
Magufuli bado raisi huwezi mlinganisha na Lisu kusimama kwingine anasimama kama raisi
Ila nimekupuuza sana kumbe wewe yehodaya ni mjinga kiasi hiki kama in rais anagombea nn si akae huko ikulu anashinda anapiga magoti huko ya nn kama ni rais
 
Jitahidi kum- treat Lissu kama unavyo m-treat Magufuli, wala hakutakuwa na hoja ya kunyanyuana na Lissu. Lakini ukimuona kama mtu aliye duni kuliko Magufuli, basi hutaweza kutenda haki kwa wote na shida itaanzia hapo.

Kama Magufuli anasalimia, basi potezea na Lissu anaposalimia. Kama Suluhu Hassan anasalimia, basi potezea Lissu / Mwalimu wanaposalimia. Muda mwingine mchukulie Lissu katika mazingira ya bahati mbaya, mfano kama jana alivyokuta watu wamemsubiri Moshi akawaomba watawanyike na wakatawanyika! ichukulie kama , ni un avoidable circumstace ambayo unazipotezea as long as he is not the initiator of that mischief!

Kazi yako itakuwa rahisi.
Yote haya afande Sirro anayaelewa vizuri.

Unamweleza mtu anayefanya kazi aliyopangiwa kuifanya.

Asipoifanya au akaonekana anaifanya si atakuwa yeye sio mtu wa shukrani kwa fadhira alizopewa?

Lililo muhimu hapa, ni kwa waTanzania kufahamu maana ya manyanyaso haya anayofanyiwa Lissu, na waamue kwa umoja wao kuyakataa.

Lissu amedhalilishwa sana, tokea huko nyuma. Sasa waTanzania tukatae kwa pamoja aina hii ya utawala wa kunyanyasa wasiokubaliana nao.
 
Yote haya afande Sirro anayaelewa vizuri.

Unamweleza mtu anayefanya kazi aliyopangiwa kuifanya.

Asipoifanya au akaonekana anaifanya si atakuwa yeye sio mtu wa shukrani kwa fadhira alizopewa?

Lililo muhimu hapa, ni kwa waTanzania kufahamu maana ya manyanyaso haya anayofanyiwa Lissu, na waamue kwa umoja wao kuyakataa.

Lissu amedhalilishwa sana, tokea huko nyuma. Sasa waTanzania tukatae kwa pamoja aina hii ya utawala wa kunyanyasa wasiokubaliana nao.

lissu hanyanyaswi na mtu,msikuze mambo.

lissu anachokoza watu,halafu shield yake ni ujuzi wa sheria.

huo sio ujanja ni uhuni.
 
+Mtoa mada umesema ukweli muono wa sirro kwa magufuli kwa muono huo huo ndio amuone nao lissu na mgombea yoyote yule wa urais HE SHOULD BEAR EQUAL RIGHT TO BOTH ITS SIMPLE kama jinsi hulka za kibinadamu hili linakuwa kumu kwa sababu human tumeumbwa na utashi kwa pale ambapo panayalinda maisha yyetu
 
lissu hanyanyaswi na mtu,msikuze mambo.

lissu anachokoza watu,halafu shield yake ni ujuzi wa sheria.

huo sio ujanja ni uhuni.
"Kuchokoza watu" ndio kufanya nini?
Amevunja sheria? Kama kavunja sheria fuata taratibu zilizowekwa ili aadhibiwe ikithibitika kavunja sheria.

Unapokuwa unapigia kelele pembeni, nje ya taratibu wewe utakuwa unamnyanyasa na kumtisha huyo unayemlalamikia.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya...
Mgombea Urais na Rais
Mropokaji na Mtendaji
HGL, HKL na PCM
Mpenda sifa na Mtu asie jikweza.

Sasa tafuta ujue Lissu yupo kundi gani.
Mtu kasoma HGL anataka kutusumbua sisi. Hebu muambieni Urais sio kubwabwaja tu. Yeye amefanyia jimbo lake nini mpaka leo tumuamini kuwa Rais. Kila siku ana lazimisha kuwa nilazima awe Rais kwani hizo kura anajipigia mwenyewe au yeye ni Mungu mpaka alazimishe watu kuwa yeye ndie Rais iwe isiwe.
Mkumbusheni wanaopiga kura na kuamua ni Watanzania so ASITUFOKEE.

Bado ninatafuta mahali ambapo Lissu amenadi wa BUNGE na MADIWANI wa chama chake akiwa kwenye mikutano yake.
Hapa ndio ninafikia na kuona kuwa huyu mtu hayupo serious kabisa ana umimi mwingi sana ndio maana sioni sera zake zikiwa na mashiko zaidi ya kutuonyesha Ungwini wake tu.
Watanzania hatutaki sheria..... Sheria ibakie kwako na ndugu zako sisi tunataka KIONGOZI anae toa sera zinazotekelezeka.
Yaani wewe umetumia PCM kama kigezo cha thinking capability ya mtu...unaijua PCM wewe? Hivi umeamua kuwadhalilisha Wapcm?wewe hujui wala hujawahi kusoma hyo Combination..kama PCM yako ni kipimo cha hekima na busara..Mwlm Nyerere alisoma PCM?? Msiandike ujuha humu!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom