Afande Sirro, ukimuona Lissu kama unavyomuona Magufuli kuwa wote ni wagombea Urais, basi utakuwa na amani na Lissu

Ushauri mzuri lakini.
 
Samahani .
Huna uwezo wa jambo lolote kichwani kwako hapo. Zero
 
Huu mwaka ni mbaya kwa ccm walizoea kuiba kura,lissu amesema atakubali kama kashindwa kwa haki sio dhuluma za ded,dc,rc
 
Jambo ambalo Ccm hawaja gundua ni kwamba vyombo vya usalama, NEC, Msajili na wenzao wamesha ona jahazi la Ccm limezama.. Hivyo wana mpigia kampeni Lissu na Chadema. Kampeni sio lazima kushangiliwa tuu hapa pale dola inapo mnyanyasa Lissu inasaidia watu kuvutiwa na Lissu kutaka kujua ni kitu gani kipo mbele ya hayo manyanyaso.
Inapogundulika ni manyanyaso hapo mahaba hugeukia Chadema.. Go Lissu goooooo....
 
Lissu anavunja sheria kwa makusudi. Tuambie wapi magufuli amevunja sheria. Kwahiyo hapa suala siyo kuwa treated vizuri, ni mtu anatakiwa afuate sheria.
Na kule kigoma ratiba ya magufuli ilimtaka awe kule au unataka avunje Sheria ipi ndo ujue kuwa amevunja??????
 
IGP feki an imposter .
 
Lissu hana hadhi ya kuwa Rais.Ikungi kulimshinda ataweza nchi. Pesa za jimbo kule ikungi kazitafuna halafu leo anataka nini. Hapana kwa Lissu, hapana kwa Chama cha Mbowe, hatutaki kugeuzwa saccos.
What about 1.5 trillion? ndiyo maana ukiwa CCM unakuwa kichwa mtupu
 
Wanakosa mtu wa kuwashauri na wanafuatilia anachokitaka Jiwe. Ndiyo anazama hivyo!
 
Crap crap crap, lisu atafungwa baada a 28.10.2020 maana ni pandikizi la mabeberu. Hao waliovunjiwa ni wajinga wajinga, maana walinunua maeneo ya hifadhi ya barabara, tena wajinga mno ilikuwa vizuri wabomolewe kabisa ili wajue kufuata sheria
 
Anaugua au anapata magonjwa kama uuguavyo wewe; anakula ugali kama ulavyo wewe; anakunya mavi chooni kama uvyavyo wewe; anajamba kama ujambavyo wewe; anacheka kama uchekavyo wewe nk no
Ujumbe mzuri!
 
Crap crap crap, lisu atafungwa baada a 28.10.2020 maana ni pandikizi la mabeberu. Hao waliovunjiwa ni wajinga wajinga, maana walinunua maeneo ya hifadhi ya barabara, tena wajinga mno ilikuwa vizuri wabomolewe kabisa ili wajue kufuata sheria
Ufe usiku huu ugongwe na gari
 
kuchokoza watu hujui ni kufanya nini??

nenda ita mtu mjinga wewe.halafu utamuuliza akueleze umevunja sheria ipi mpaka akusawazishe hiyo kichwa yako.

narudia tena hakuna anayetishwa.
Kumwambia mjinga kuwa yeye ni mjinga ni kumchokoza?
Mbona mwenyewe hapo ni mjinga?
 
kakazwe huko,mtu keshalimwa block la wiki huko,nendeni mkamtetee sio kukaa unatafuta hang out hapa.
Kwa mtu asiye na kitu kichwani kama wewe, utaona 'keshalimwa block'.

Usilojua ni kwamba hizo siku saba ni kama 'bonus' kwa kampeni yake.
 
Kwa mtu asiye na kitu kichwani kama wewe, utaona 'keshalimwa block'.

Usilojua ni kwamba hizo siku saba ni kama 'bonus' kwa kampeni yake.

si ataongezwa baada ya campaign kwisha hiyo bonus,hamna tatizo.
 
Kwa hiyo bado mnamchunguza mpaka leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…