Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Mambo mengine akili itumike. Simkubali JPM wala m-CCm yoyote maana hawaaminiki. Ila, tuache uhuni. Malisa namhemshimu kwa harakati zake za kusaidia jamii, lakini kuna wakati anajichomoa betri na kupoteza credibility aliyojijengea kwa kuandika ndombolo.
Watanzania ni watu wa ajabu sana, leo hii hawa akina Mwigulu, na wengineo walafi wa hii nchi, siku ikatokea wakawajibishwa utashangaa akili ya watanzania itakavyobadilika na kuanza kuwatetea na kumsema vibaya aliyewawajibisha. Tutaendelea kutiwa vidole na CCM kwa akili hizi.
Mbona Sabaya anawajibishwa na hakuna anayemtetea?
 
JPM alizivuruga familia nyingi tena kwa chuki tu bila ya ushahidi..Kwa maombi ya wahanga nilijua ilikuwa lazima afe akiwa madarakani ili kutimiza neno la maandiko
 
Mbona Sabaya anawajibishwa na hakuna anayemtetea?
Sasa ndugu suala la Sabaya si liko wazi uovu wake ni transparent mpaka footages zinamuonyesha. Na una hakika hakuna wasiomtetea licha ya ushahidi wote wa kimazingira? Au suala la utetezi lina carry weight wakitetea watu wa upinzani na wanajamii?
 
mbona mnaficha ficha code tajeni watu wachangie hoja kama ni haya ma eiaravii yenu watu walete ushahidi wakina
 
Acha kwanza kula kitimoto ili upate kibali cha kuwa na maono ya rohoni la sivyo endelea tu kuwa upande wa shetani sababu unakaidi kutii maagizo yake Mungu

Mambo ya Walawi 11.
Mathayo 15 : 10 - 20.
Screenshot_20221121-232120_Biblia Takatifu.jpg
 
Back
Top Bottom