Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi toka kuzimu uende peponi ukitoka kuzimu ni jehanamu hasa ukifa bila toba.Ukifa bila dhambi mfano Moses Kulola, Bikira Maria,moja kwa moja mbinguni ukisubiria kwenda peponi au paradiso. Mbinguni ni makazi ya mda ya mfupi ya walio upande wa Mungu na kuzimu ni makao ya mda mfupi ya wafuasi wa shetani. Paradiso ni makao ya milele ya watatifu na kwa wafuasi wa shetani makao ya milele uitwa jehanamu. Hadi SAsa jehanamu na paradiso hazipo hadi baada ya hukumu.Mkuu WERRA, kiongozi aliyezungumzwa hapo sio JPM, ni JKN, hata hivyo kuzimu sio motoni, jehanum, kuzimu ni pulgatory, watu walioko kuzimu ni wale wanaadhibiwa kisha wanaingia peponi. Hata JPM, sio lazima kuwa aliingia peponi siku ile ile aliyoondoka, alianzia kuzimu ndipo akaingia peponi!, hata Yesu, alipokufa pale msalabani, alishukia kuzimu, ndipo akafufuka siku ya 3!. Hivi tunavyo zungumza usikute marais wetu wote 3, saa hizi wako peponi, mbinguni kwa Baba!, hao wengine, sikuambiwa ila JPM, nimeambiwa yuko peponi!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Umeongea point nzuri sana, huyu Malisa na wenzake wanafiki tuu.Nyie washkaji gani sasa kama mlitelekeza jamaa yenu kwa kila kitu. Kiasi sponsor ndio alitoa hela ya wakili, ada za watoto, kula yao na mtaji kwa shemeji. Then jamaa anapotoka jela ndio mnakajidai ati kuwa nae karibu. Na sasa kafariki umekimbilia kumwandika mitandaoni, aisee sihitaji marafiki.
Mandela alimhangaikia Winnie kivipi na kwa muda gani? Tafuta mfano wa kufanya ulinganisho, Mandela hafanani na haya.Tumia akili ingekuwa ni msongo wa mawazo angekufa alipokuwa gerezani.Kilicho muua rafiki yako ni mamawzo aliyoyapata baada ya kumkuta Mke wake amemsaliti na ameshindwa kusimamia biashara alizo ziacha.
**Mwanamke uliye muhangaikia kwa miaka yote akikusaliti wakati ukiwa kwenye matatizo lazima uchanganyikiwe-hii ilimpata hata Mandela akashindwa hata kumsamehe Winn
Issues za mbinguni, peponi, ahera, paradiso, kuzimu, toharani, jehanum, motoni, kiama etc, ni issues zinazochanganya sana kutokana na dini mbalimbali na mtu akifa nini kinafuatia.Huwezi toka kuzimu uende peponi ukitoka kuzimu ni jehanamu hasa ukifa bila toba.Ukifa bila dhambi mfano Moses Kulola, Bikira Maria,moja kwa moja mbinguni ukisubiria kwenda peponi au paradiso. Mbinguni ni makazi ya mda ya mfupi ya walio upande wa Mungu na kuzimu ni makao ya mda mfupi ya wafuasi wa shetani. Paradiso ni makao ya milele ya watatifu na kwa wafuasi wa shetani makao ya milele uitwa jehanamu. Hadi SAsa jehanamu na paradiso hazipo hadi baada ya hukumu.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu.Ndo maana alipokufa walificha kifo chake.ni laana ile
Ndio maana uwa namwomba Mungu siku akiichukua Roho yangu ningependa nifahamu walipo hakina Ben Saanane, Azory, JPM.....A very touching story.
JPM hakusiki na hicho kilichotokea ndio maana yuko mbinguni kwa Baba yake Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Usisubiri hadi siku unachukuliwa ndio ujue walipo hao, anaweza kujua alipo JPM tuu kwasababu alifariki, Ben na Azory wao walipotea tuu, hivyo wanaweza wakawa huku au kule!. JPM umeishajua yuko wapi, ili uweze kumuona ni lazima ujiandae ili na wewe uende upande aliopo, ukitupwa kule, huwezi kuwaona wa kule kungine!.Ndio maana uwa namwomba Mungu siku akiichukua Roho yangu ningependa nifahamu walipo hakina Ben Saanane, Azory, JPM.....
Yote hayo sababu ya Magufuli na ameharibu maisha ya watu wengi sana na familia nyingi zinapitia magumu.Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.
Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.
Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.
Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.
Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.
Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.
Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]
Malisa GJ
Kwamba magu alikua analeta mvua ruvu inafurika!!Hivi unadhani magu angekuwa hai ningekaa mwezi mzima bila maji ya dawasa kutoka bombani??? Ni kweli binafsi namkumbuka sana tu
Huyo mwanamke ni malaya tu Kama wale wa barabarani.. kupanda na kushuka ni sehemu ya Maisha. Mwacheni jiwe apumzike... Hana hatia..Kesi nyingi za uhujumu uchumi kipindi cha JPM zilikuwa ni za kubumba ,rejea yule mafnyabiashara arusha aliyebambikiwa "Vipande vya mihogo" na askari wa sabaya wakamlazimisha atoe 100m otherwise watampa kesi ya uhujumu uchumi? Mfanyabiashara wa hotel sabaya alitaka kumbaka Nandi si alisema kwamba alilazimishwa atoe fedha?
Wafanyabiashara wengi kipindi cha JPM waliporwa pesa kwa kisingizio cha uhujumu uchumi ,Mahakama ipi ilihukumu kesi zao? Baada ya kuona hawana ushahidi ndipo JPM na ngosha mwenzake Maganga wakaanzisha plea bargain,kwa ili JIWE anahusika 100% kumfunga huyo jamaa na baada ya kufungwa hapo ndipo biashara zikayumba na baada ya biashara kuyumba kwakuwa mwenyewe yupo ndani ndipo mkewe ikabidi aachie PENZI.
Inamaanisha asingefungwa hayo yote ya biashara kuyumba na kuporwa penzi yasingetokea.
Usikute sponsor ni mmoja wa marafiki zakee.. unacheza na Dunia wewe??Nyie washkaji gani sasa kama mlitelekeza jamaa yenu kwa kila kitu. Kiasi sponsor ndio alitoa hela ya wakili, ada za watoto, kula yao na mtaji kwa shemeji. Then jamaa anapotoka jela ndio mnakajidai ati kuwa nae karibu. Na sasa kafariki umekimbilia kumwandika mitandaoni, aisee sihitaji marafiki.
Tumetofautiana, mimi maisha yangu ya hapa Duniani natenda yaliyo mema.Usisubiri hadi siku unachukuliwa ndio ujue walipo hao, anaweza kujua alipo JPM tuu kwasababu alifariki, Ben na Azory wao walipotea tuu, hivyo wanaweza wakawa huku au kule!. JPM umeishajua yuko wapi, ili uweze kumuona ni lazima ujiandae ili na wewe uende upande aliopo, ukitupwa kule, huwezi kuwaona wa kule kungine!.
P
Nadhani sasa ni wakati mzuri wa kuachana na taarifa zemye uzushi au fabrications.Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.
Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.
Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.
Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.
Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.
Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.
Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! 😭😭
Malisa GJ
Ninachokiona hapa ni sense ya Moderator aliyefanya editing ya heading hakujipa muda wa kuisoma na kuielewa mada kisha angeihamishia ChitChat maana seems mtoa mada alikuwa amedhamiria kupiga soga na siyo kujenga hojaHukumtaja Muhusika wala kutaja tuhuma zake sasa kwa nini uituhumu Mamlaka kwa kumtia hatiani?.
Ni vipi na sie tuta balance kuona kama hizo Mamlaka chini ya JPM zilimuonea au kweli alikuwa ana tuhuma?.
Kwa hiyo unataka kutuaminisha wote waliotuhumiwa wakati wa JPM walionewa?, kwamba hakukuwa na Wakosaji kabisa kipindi cha utawala wa JPM?. kama ndivyo na basi wote waliotuhumiwa na kutiwa hatiani kipindi hicho waachiliwe huru.