Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Nilichojifunza watanzania tumekua mazuzu Sana Hawa jamaa wanatuimbisha wimbo wa magufuli Kila siku na sisi tunaacha kuhoji mambo ya msingi na kuungana nao kama kasuku na hicho ndio kichaka Chao nimeshangaa Sana hata malisa nae yumo chadema yote nao wamo wameimbishwa nao wamejaa Leo hakuna anaehoji mambo ya msingi wote tunaimba habari za marehemu
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]

Malisa GJ
Huyo ilitakiwa anyongwe kwa ufisadi alioifanyia nchi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake,wanawake.....[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] ni MASHETANI KATAENI NDOA
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]

Malisa GJ

Du,noma sana.haya maisha acha tu,tumpe Mungu sifa na utukufu
 
No Mandela alimsamehe Winnie, kilichofanya wakatengana na hadi kutalikiana, ni issue nyingine iliojitokeza baada ya Mandela kuachiwa na sio issues za usaliti akiwa jela.
P
Mkuu hapo hebu kidogo tuweke sawa maana mengi yanayosemwa kuhusu Mandlea kuachana na mkewe. Wapo wanaosema kiwa Winnie alistuka kuwa yule waliemuachia sio Mandela halisi bali ni mtu mwengine. Hebu tusaidie hapa.
 
Cha ajabu zaidi huyo mtu hajulikani ni nani.
JF yetu hii code huwa zinawekwa wazi tuu mtu anajulikana, hili linanipa mashaka sana juu ya hii habari ya Malisa, atajishushia heshima kwa jamii yenye uelewa mkubwa wa mambo.
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]

Malisa GJ
Sasa JPM yeye anaingiaje hapo!? Mjifunze kutiii Sheria bila ya shuruti na mtaishi kwa amani tu, na ukiamua kuvunja Sheria basi kuwa tayari kupambana na mkono wa Sheria! Sheria haipingwi ndg yangu!! Na nyinyi Kama Marafiki zake wa karibu kwa nini mlishindwa kumtunza Shemeji yenu hadi akaangukia mikononi mwa huyo Sponsor!? Na unaweza kuta huyo anaejiita sponsor hizo pesa alizipata kwa huyo huyo Mwanamke baada Mume kwenda Jela!
 
Mambo mengine akili itumike. Simkubali JPM wala m-CCm yoyote maana hawaaminiki. Ila, tuache uhuni. Malisa namhemshimu kwa harakati zake za kusaidia jamii, lakini kuna wakati anajichomoa betri na kupoteza credibility aliyojijengea kwa kuandika ndombolo.
Watanzania ni watu wa ajabu sana, leo hii hawa akina Mwigulu, na wengineo walafi wa hii nchi, siku ikatokea wakawajibishwa utashangaa akili ya watanzania itakavyobadilika na kuanza kuwatetea na kumsema vibaya aliyewawajibisha. Tutaendelea kutiwa vidole na CCM kwa akili hizi.
Watanzania wengi wana tatizo la umasikini wa Akili!!
 
Mambo mengine akili itumike. Simkubali JPM wala m-CCm yoyote maana hawaaminiki. Ila, tuache uhuni. Malisa namhemshimu kwa harakati zake za kusaidia jamii, lakini kuna wakati anajichomoa betri na kupoteza credibility aliyojijengea kwa kuandika ndombolo.
Watanzania ni watu wa ajabu sana, leo hii hawa akina Mwigulu, na wengineo walafi wa hii nchi, siku ikatokea wakawajibishwa utashangaa akili ya watanzania itakavyobadilika na kuanza kuwatetea na kumsema vibaya aliyewawajibisha. Tutaendelea kutiwa vidole na CCM kwa akili hizi.
100%
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne.

Kesi nyingi za uhujumu uchumi kipindi cha JPM zilikuwa ni za kubumba ,rejea yule mafnyabiashara arusha aliyebambikiwa "Vipande vya mihogo" na askari wa sabaya wakamlazimisha atoe 100m otherwise watampa kesi ya uhujumu uchumi? Mfanyabiashara wa hotel sabaya alitaka kumbaka Nandi si alisema kwamba alilazimishwa atoe fedha?

Wafanyabiashara wengi kipindi cha JPM waliporwa pesa kwa kisingizio cha uhujumu uchumi ,Mahakama ipi ilihukumu kesi zao? Baada ya kuona hawana ushahidi ndipo JPM na ngosha mwenzake Maganga wakaanzisha plea bargain,kwa ili JIWE anahusika 100% kumfunga huyo jamaa na baada ya kufungwa hapo ndipo biashara zikayumba na baada ya biashara kuyumba kwakuwa mwenyewe yupo ndani ndipo mkewe ikabidi aachie PENZI.

Inamaanisha asingefungwa hayo yote ya biashara kuyumba na kuporwa penzi yasingetokea.
 
Back
Top Bottom