Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Nimesoma huo ujumbe naona shida iko kwa nyie marafiki zake..mlishindwa kumsaidia huyo shemeji yenu wakati jamaa yuko rumande hadi huyo sponsor akajitokeza.
Hicho mlichokifanya cha kumtafutia mtaji rafiki yenu mngekifanya mapema kwa shemeji yenu wakati rafiki yenu yuko jela..kwa kumsaidia kumpatia mtaji na kumtembelea kujua maendeleo yake lakini nyie mlimuacha na leo mnakuja kulaumu watu.
Poleni sana.
Unaweza kuta na wao walisha mramba huyo Shemeji yao,Sasa hivi wamebaki kujikomba kwa rafiki yao aliyetoka jela,alafu unaweza kuta hao si marafi bali walikua ni Chawa tu wa Mshikaji kipindi kile anapiga pesa za Wizi!!
 
Unaweza kuta na wao walisha mramba huyo Shemeji yao,Sasa hivi wamebaki kujikomba kwa rafiki yao aliyetoka jela,alafu unaweza kuta hao si marafi bali walikua ni Chawa tu wa Mshikaji kipindi kile anapiga pesa za Wizi!!
Kweli kabisa
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]

Malisa GJ
Bado sa100 wahuni lazima wafutike wote ...ndiyo tz itspata wokovu
 
Tutakua tunawaona kwenye makarandinga wakielekea kisutu.
Hao dawa yao siyo makarandinga ni kupotezwa mazima ..kuwafungulia mashitaka ni kupoteza muda ...ni wahalifu wakubwa sana ...wahahini
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! [emoji24][emoji24]

Malisa GJ
Kuzaliwa mwanaume bana daah
 
Duuu, hebu kesho nijaribu kupiga simu yake akili inanituma kuwa aweza kuwa yeye.
 
Funzo wanaume tuwashurikishe wakezetu kwenye michakato marafiki acheni kuwapelekea moto shemeji zenu ukiamua kumsaidia msaidie
 
Viungo vya binadamu visiposhughulishwa kwa muda mrefu, vinaharibika!. Zamani kulikiwa na jela za giza, wale wafungwa wakisha achiwa wanakuwa blind.

Wafungwa wa vifungo virefu, wanapaswa kupewa haki iitawayo , conjugal visit, ili kuvipa mazoezi vile viungo!. Mandela hakupewa haki hii!., ila hata sisi Tanzania, haki hiyo ipo vitabuni lakini wafingwa hawapewi, huku kwetu haki hiyo wanapewa mahabusu tuu, yule Blaza wangu alipoisikia, alishangaa sana!, akapiga marufuku,
mimi nikashauri Mfungwa ni Binadamu na Haki si hisani! Conjugal Visit sio Starehe, ni Haki halali na stahiki ya Mfungwa!

Hivyo kufuatia Mandela kukosa haki hiyo, baada ya kuachiwa, ikawa hawezi mechi ndefu, yeye kidogo tuu kashiba huku mke ana njaa. Ikawa kila baada ya mlo, Winnie hutoka nje kwenda vyumba vya ma bodyguards kumshibisha!, tatizo likawa sio bodyguard mmoja, mabodyguards wakaanza kugombea!, Taarifa zikafika ofisini, ofisi ikaingilia, kuzuia. Mamaa akafikia stage akawa anatoka nje kwenda kununua, hivyo kumuaibisha Mzee. Mzee akawa hapewi tena chakula ni vi benten vinapishana!. Mzee akaamua bora kumruhusu kuliko kumuaibisha!.

Winnie ili kujitetea akadai huyo sio yule Mandela aliyeingia jela, Mandela halisi alikuwa ni bonge la mchezaji anapiga bonge la show, lakini hiyu ni hakuna kitu!!, hivyo sio yule, amenadilishwa!.
Kiukweli Mandela ni yule yule.
P

Dah.. Shukran sana mkuu kwa hili somo murua kabisa, kumbe propaganda ya clone aliisambaza Winnie kwa tamaa zake za mwili.
 
Ndio maana uwa namwomba Mungu siku akiichukua Roho yangu ningependa nifahamu walipo hakina Ben Saanane, Azory, JPM.....
Acha kwanza kula kitimoto ili upate kibali cha kuwa na maono ya rohoni la sivyo endelea tu kuwa upande wa shetani sababu unakaidi kutii maagizo yake Mungu

Mambo ya Walawi 11.
 
Viungo vya binadamu visiposhughulishwa kwa muda mrefu, vinaharibika!. Zamani kulikiwa na jela za giza, wale wafungwa wakisha achiwa wanakuwa blind.

Wafungwa wa vifungo virefu, wanapaswa kupewa haki iitawayo , conjugal visit, ili kuvipa mazoezi vile viungo!. Mandela hakupewa haki hii!., ila hata sisi Tanzania, haki hiyo ipo vitabuni lakini wafingwa hawapewi, huku kwetu haki hiyo wanapewa mahabusu tuu, yule Blaza wangu alipoisikia, alishangaa sana!, akapiga marufuku,
mimi nikashauri Mfungwa ni Binadamu na Haki si hisani! Conjugal Visit sio Starehe, ni Haki halali na stahiki ya Mfungwa!

Hivyo kufuatia Mandela kukosa haki hiyo, baada ya kuachiwa, ikawa hawezi mechi ndefu, yeye kidogo tuu kashiba huku mke ana njaa. Ikawa kila baada ya mlo, Winnie hutoka nje kwenda vyumba vya ma bodyguards kumshibisha!, tatizo likawa sio bodyguard mmoja, mabodyguards wakaanza kugombea!, Taarifa zikafika ofisini, ofisi ikaingilia, kuzuia. Mamaa akafikia stage akawa anatoka nje kwenda kununua, hivyo kumuaibisha Mzee. Mzee akawa hapewi tena chakula ni vi benten vinapishana!. Mzee akaamua bora kumruhusu kuliko kumuaibisha!.

Winnie ili kujitetea akadai huyo sio yule Mandela aliyeingia jela, Mandela halisi alikuwa ni bonge la mchezaji anapiga bonge la show, lakini hiyu ni hakuna kitu!!, hivyo sio yule, amenadilishwa!.
Kiukweli Mandela ni yule yule.
P


Kweli lazima angeathirika ,miaka 27 ndani bila KONJUGO lazima atakuwa alikwea MNAZI sana hivyo kumuathiri kwenye performance.
 
Watu wanachangia kichwa kichwa kumbe Uzi una code na wamekosa password
 
Mungu awalaze pema JPM pamoja na rfk ako
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! 😭😭

Malisa GJ
 
Wakati wa JPM alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akasota rumande miaka minne. Mwaka jana akaachiwa kwa NOLE. Aliporejea nyumbani akakuta biashara zake zimekufa. Mke ana mtoto mwingine aliyezaa nje ya ndoa. Mke anadai hakuplan ku-cheat ila changamoto za maisha zilimlazimisha. Baada ya kila kitu kuvurugika na maisha kuwa magumu alimpata "Sponsor" aliyekubali kulea watoto wawili wa jamaa akiwa jela.

Ni "sponsor" huyohuyo aliyelipia gharama za mawakili waliomtetea jamaa hadi kuachiwa huru. Sponsor alitunza familia ya jamaa, akamlipia mawakili, akahakikisha watoto wake wanaendelea kusoma English Medium na hawarudi shule za Kayumba. Akamfungulia mke wa jamaa biashara ya saloon ili aweze kujikimu kwa mahitaji madogo, akamnunulia gari.

Jamaa alipotoka alipata depresion ya maisha, ndoa, uchumi etc. Washkaji zake tulijitahidi kumrudisha sawa lakini it was a locomotive process. Mke alijitetea kwamba yaliyotokea hakukusudia. Aliahidi kukatiza mahusiano na "sponsor" na badala yake watawasiliana kwenye malezi ya mtoto tu. Lakini somo hilo lilikua gumu kwa jamaa.

Jamaa alikua muongeaji sana kabla ya kufungwa. Lakini baada ya kutoka jela akawa mtu mkimya na asiyependa kutoka. Mara zote hujifungia ndani akiwaza na kusoma vitabu. Washkaji zake tuligundua yupo kwenye msongo. Kuporomoka kwa uchumi na kuyumba kwa ndoa yake vilimuumiza sana. Tukaweka utaratibu wa kumtembelea mara kwa mara, kumtia moyo na mara chache kutoka nae out japo kwa kumlazimisha.

Kuhusu mtoto tulimwambia kitanda hakizai haramu. Kuhusu uchumi tulimwambia ajipe moyo atarecorver kwani hayo ni mapito tu. Tulikua tayari kumchangia mtaji kidogo ili aanze kujipanga upya.

Jana nikapata taarifa kuwa ameanguka bafuni. Inadaiwa alipata stroke na mishipa ya kichwa kupasuka. Damu ikavilia kwenye ubongo, akapoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali lakini alipofikishwa, madaktari wakasema si yeye bali ni mwili wake tu. Malaika Israel alimtwaa njiani kabla ya kufika hospitali.

Nimeumia sana. Pumzika kamanda. Siku zako nje ya jela zimekua NGUMU SANA kuliko ulipokua jela. Naamini umemsamehe mkeo. Naamini pia umemsamehe JPM aliyevuruga maisha yako na familia yako. Lala salama mwamba. Tutaonana baadae.! 😭😭

Malisa GJ
Ni usaliti wa mwanamke ndio umemuua mwanaume. Mwanamke amekosea sana. Hakuwa mwaminifu hata wakati wa dhiki na shida na magumu kwa mume. Alipaswa kuwa bega kwa bega na mwanaume mpka atakapotoka. Anyway hayaniusu
 
Nilichojifunza watanzania tumekua mazuzu Sana Hawa jamaa wanatuimbisha wimbo wa magufuli Kila siku na sisi tunaacha kuhoji mambo ya msingi na kuungana nao kama kasuku na hicho ndio kichaka Chao nimeshangaa Sana hata malisa nae yumo chadema yote nao wamo wameimbishwa nao wamejaa Leo hakuna anaehoji mambo ya msingi wote tunaimba habari za marehemu
Kama wao wanaimbishwa kwa nini wewe usihoji? Wewe huwezi kuleta uzi hapa ukihoji hayo utakayo? Au unataka nani ahoji kwa niaba yako?
 
Mkuu ingekua mahitaji muhimu bodyguard mmoja tu angemtosha baada ya mzee kukosa hiyo conjuger kwa muda mrefu. Sasa kila bodyguard kapita nae hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua ni kicheche.
Kwa vile walinzi wana rotate, mlinzi atakayekuwa zamu siku ya uhitaji ndio atamhudumia, kwa hiyo sio ukicheche!.
Angepangwa mlinzi mmoja huyo huyo siku zote, angekuwa mmoja.
P
 
Back
Top Bottom