Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Mbona Sabaya anawajibishwa na hakuna anayemtetea?
 
JPM alizivuruga familia nyingi tena kwa chuki tu bila ya ushahidi..Kwa maombi ya wahanga nilijua ilikuwa lazima afe akiwa madarakani ili kutimiza neno la maandiko
 
Mbona Sabaya anawajibishwa na hakuna anayemtetea?
Sasa ndugu suala la Sabaya si liko wazi uovu wake ni transparent mpaka footages zinamuonyesha. Na una hakika hakuna wasiomtetea licha ya ushahidi wote wa kimazingira? Au suala la utetezi lina carry weight wakitetea watu wa upinzani na wanajamii?
 
mbona mnaficha ficha code tajeni watu wachangie hoja kama ni haya ma eiaravii yenu watu walete ushahidi wakina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…