Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

huyo mwanajeshi alikutana na mzee, angekutana na kijana wa kawaida tuuu, mbona angenyonywa mavi. Angepigwa mpaka akawachukue wenzake kambini.

kuna mwanajeshi alijifanya kuleta kiburi eti kisa kavaa kombati ya jeshi, kuna kajamaa kalimpa kichapo cha kufa mtu, mpaka likaenda kushtaki kwa wenzake kambini.

wanajeshi hawana kitu ni kama mlenda tuu, ukikomaa naye unamzibua vzr tuu mpaka anapagawa.
Kambini kwao ndo wanajifanya wajanja, kila siku tuna wabonda bar huku Arusha
 
kuna mwengine sasa akipanda boda hata nauli ya boda hatoi
 
Juzi walikaribia kumtesa mtu mmoja asiyekuwa na hatia pale makongo.
Jamaa alikuwa anatokea mwenge. Alipofika pale Getini VTC lugalo akakaomba msaada askari mmoja mlevi naye akamuita ndani wakaanza kumpiga
Ati wanamuuliza una simu kama hii halafu u makosa nauli?
Pumbavu sana hawa
wanajeshi ni ile kombati inawatia kiburi tu, hawana lolote. Ukikomaa nae unamzibua vzr sana.
 
Ki ukweli siku hizi, mambo ya mitandao yamesaidia sana kuwaamusha/kuweka wazi upuuzi unaofanywa na wanajeshi!!na viongozi wao siku hizi hawataki upuuzi, na hata siku za karibuni wamewaambia hawataki kuona mwanajeshi anapokuwa kwenye gari anaendesha huku amevaa kiraia anaweka kofia/sare ya jeshi mbele ili anaposimamishwa kwa kuvunja sheria aweze kumtisha msimamizi wa sheria!!
ni kweli kabisa,nilishaisikia hii
 
kuna mwengine sasa akipanda boda hata nauli ya boda hatoi
mwanajeshi wa hivo akija huku kwetu lazma wahuni wamfumue marinda, hatutakagi upumbavu.

Kama ni kupigwa atapigwa kama mwizi afu akaite wenzake nao wafumuliwe marinda, hatuwezi kubembeleza wapumbavu kwa jina la mwanajeshi, kwetu ni marufuku.
 
mwanajeshi wa hivo akija huku kwetu lazma wahuni wamfumue marinda, hatutakagi upumbavu.

Kama ni kupigwa atapigwa kama mwizi afu akaite wenzake nao wafumuliwe marinda, hatuwezi kubembeleza wapumbavu kwa jina la mwanajeshi, kwetu ni marufuku.
huko kuna msimamo safi utasikia kijana si hapo tu kwanza mafuta hata hajaendi kivile kwa boda mimi mwenyewe si naendesha ukiweka ya buku 5 unapiga ruti hadi basi
 
Sasa kuku anakupelekea unyongwe, hata ukiwaeleza watoto wako Baba yenu ananyongwa kwa kuibiwa kuku mmoja sidhani km watawaelewa
 
Wanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Tatizo ukiwabutua wanakuja kundii kikosi kizimaa
Ingekuwa mnamalizana wenyewe kwa wenyewe
Wangeisoma nambaa
 
Back
Top Bottom