Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Nimesikitika sana mkuu, na aliyeuawa ni mtu mzima kabisa, ukiangalia hapo ni uonevu tu hakuna kingine.yan mtu akishapata lile gwanda aisee anaona tayar sheria ipo mkononi mwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikitika sana mkuu, na aliyeuawa ni mtu mzima kabisa, ukiangalia hapo ni uonevu tu hakuna kingine.yan mtu akishapata lile gwanda aisee anaona tayar sheria ipo mkononi mwake
Sio KILA mtu anarogeka Ingekuwa rahisi hivyo kusingekuwepo na watu duniani.Dawa n kwenda kumroga huyo mwanajeshi.
Ndo maana kashikiliwa kama muuaji,anafukuzwa Kazi kisha anapandishwa kizimbani akajitete.Ni muda sahihi sasa wa Jamii kuanza kutotukuza uovu wao na kuwachukulia ni kama wavunjasheria wengine tu
Kwanini aliiba kuku?
Pole muhanga kwa yaliokukuta. Ila nsio ivyo hauwezi wafanya chochotePole sana ulimbukeni unakusumbua sana!!
Mnadili nae binafsi muhusikaunajua nini shida haya matukio sio kwamba hili ndiyo la kwanza yanatokea mengi huko mtaan likipata kutangazwa na vyombo vya habar kama hivi ni bahati na ni machache
Hakuna ambaye yuko juu ya sheria. Hiyo ni hulka ya mtu binafsi hata asingekuwa mwanajeshi angefanya unyama.Jeshi la wananchi mbona watu wazuriUtawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
Sasa huyo Muwaji tayari anashikiliwa na Jeshi la Police, Sasa hapo huoni kua hakuna aliye juu ya sheria hata Kama wwe ni mlinzi wa amani ukivunja Sheria na ukaripotiwa lazima tutakushuhulika tu kwa mujibu wa Sheria!!Pole muhanga kwa yaliokukuta. Ila nsio ivyo hauwezi wafanya chochote
Na wao wasikaribie anga zetuUtawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
....worry out....hao ni baadhi tu walio na nidhamu mbovu.Badilikeni Aiseee,mnafanya jeshi lionekane Kama genge la wahuni
Isitoshe mtu mwenyewe mzee mwenye miaka 65 halafu pia ni mlevi.Sasa kwel kuiba tena kuku ndiyo unamfanyia mwenzako hivyo kwel
Nao waache dharau, Jeshi lolote kazi inaisha wakati wowote hasa kama sio ofisa kama huyo koplo kama ukizingua kwenye nidhamu.Halafu Mimi siyo mjeda wala siyo mlinzi Kwa namna yoyote Ile. Kwa hiyo usidhani natetea maslahi yoyote hapa mahali.
Nachosema ni kile kile; Tuacheni dharau Kwa hawa watu! Siku moja itakuja mtaelewa!
Ngerengere kuna vikosi zaidi ya hicho. Komando ni 92 KJNgerengere si ndio makomandoo wanapopikwa? Kwahiyo askar tena komando unaua kwasababu ya kuku?
kwa maeneo hayo na sio msimu wa sikukuu hiyo 15 unaweza pata kuku 2 kabisaIsitoshe mtu mwenyewe mzee mwenye miaka 65 halafu pia ni mlevi.
Kuna kesi nyingine ni za kujitakia, hapo ajira anapoteza na jela ataenda kwa sababu tu ya kuku ambae thamani yake haizidi 15,000/-
Hata uwanja wa vita adui akijisalimisha kabisa,kumuua ni kosaKuua ni ktk uwanja wa vita, mtaani kwa raia ndo uwanja wa vita!!