King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
Kambini kwao ndo wanajifanya wajanja, kila siku tuna wabonda bar huku Arushahuyo mwanajeshi alikutana na mzee, angekutana na kijana wa kawaida tuuu, mbona angenyonywa mavi. Angepigwa mpaka akawachukue wenzake kambini.
kuna mwanajeshi alijifanya kuleta kiburi eti kisa kavaa kombati ya jeshi, kuna kajamaa kalimpa kichapo cha kufa mtu, mpaka likaenda kushtaki kwa wenzake kambini.
wanajeshi hawana kitu ni kama mlenda tuu, ukikomaa naye unamzibua vzr tuu mpaka anapagawa.
wanajeshi ni ile kombati inawatia kiburi tu, hawana lolote. Ukikomaa nae unamzibua vzr sana.Juzi walikaribia kumtesa mtu mmoja asiyekuwa na hatia pale makongo.
Jamaa alikuwa anatokea mwenge. Alipofika pale Getini VTC lugalo akakaomba msaada askari mmoja mlevi naye akamuita ndani wakaanza kumpiga
Ati wanamuuliza una simu kama hii halafu u makosa nauli?
Pumbavu sana hawa
Amna kitu wachovu tu[emoji1787][emoji1787]kumbe
Tuna kaa nao huku kakakumbe [emoji106][emoji106]
Badilikeni Aiseee,mnafanya jeshi lionekane Kama genge la wahuniPole mpenzi...usiwachukie walinzi wa nchi yetu.
Unamuwa Mzee wa miaka 63 kisa kuku tu! Huyu mjeda kajitafutia laana isiyofutika hadi kifo chake kitapomfikia!!Hali mbaya
Mjeda anakoma na kuku
ni kweli kabisa,nilishaisikia hiiKi ukweli siku hizi, mambo ya mitandao yamesaidia sana kuwaamusha/kuweka wazi upuuzi unaofanywa na wanajeshi!!na viongozi wao siku hizi hawataki upuuzi, na hata siku za karibuni wamewaambia hawataki kuona mwanajeshi anapokuwa kwenye gari anaendesha huku amevaa kiraia anaweka kofia/sare ya jeshi mbele ili anaposimamishwa kwa kuvunja sheria aweze kumtisha msimamizi wa sheria!!
mwanajeshi wa hivo akija huku kwetu lazma wahuni wamfumue marinda, hatutakagi upumbavu.kuna mwengine sasa akipanda boda hata nauli ya boda hatoi
Nyeti mno.wakati ni moja wapo ya taasisi muhimu,nyeti sana inayotegemewa na nchi.
huko kuna msimamo safi utasikia kijana si hapo tu kwanza mafuta hata hajaendi kivile kwa boda mimi mwenyewe si naendesha ukiweka ya buku 5 unapiga ruti hadi basimwanajeshi wa hivo akija huku kwetu lazma wahuni wamfumue marinda, hatutakagi upumbavu.
Kama ni kupigwa atapigwa kama mwizi afu akaite wenzake nao wafumuliwe marinda, hatuwezi kubembeleza wapumbavu kwa jina la mwanajeshi, kwetu ni marufuku.
Huu ni ujinga sanaWanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Tatizo ukiwabutua wanakuja kundii kikosi kizimaaWanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.