Tatizo haujui jinsi ya kuwawajibisha huyo jamaa anakua mdogo sana kuna ngazi za kuripoti huko kambini kwao maana mwanajeshi hatakiwi kumuonea mwananchi kwenye miongozo yao na ukifanya hivyo kazi huna na adhabu juu sema wabongo hatujui kudai haki zetuUtawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
Acha dharau we katotoKwanza we unawaona Wana akili za kupata hizo pesa?
sawa wote wana makosa hata kama umeibiwa unachukuaje sheria mkononi bila kufuata taratibu??
Tena ukiwakuta hao wanaotaka kua wanajeshi kwenye usahili wanavyoaangaika kila kona hadi kwa Waganga wa kienyeji ili mradi apate kazi ya Ulinzi! Akishapata Sasa utamjua Kama ndiyo yeye, kiburi na ujuwaji unakua juu sana!!Hakuna anayelazimishwa kuwa mwanjeshi nchi hii wote wanaokuwa wanajeshi walipenda na waliomba kufanya hiyo kazi kwa hiyari zao.
Na wao huwa wanaingia kwenye anga za kisheria na sheria huwa inawapa wanachostahili.Utawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
🤣🤣🤣Huo ndio ukweli,au nyie Wenyewe mnajionaje?Acha dharau we katoto
Hawana lolote hao. Ni kwa sababu tu huyu alikuwa mzee, km kijana wangedundana tuuUtawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
Unachuki binafsi dhidi ya wanajeshi..🤣🤣🤣Huo ndio ukweli,au nyie Wenyewe mnajionaje?
kabisa wakamalizane na wababe wenzao huko wakirud huku wamepoaNadhani Makosa yanayofanyika ni kule Serikali kuwaruhusu kujenga na kuishi pamoja na raia kitaa! Walipaswa watengewe maeneo yao ya kujenga na kuishi.
Ingawa kusema ukweli siyo wote,wapo wanajeshi wazuri tena wacha Mungu hawana ujinga kama huo.
Mimi nafikiri Serikali ingekuwa inawapeleka Syria,Yemen,Afghanstan,Iraq,Ukraine,Nigeria,Somalia kwenye vita ili wakamalizie hasira zao huko.
Dah inasikitisha sanaNdugu zangu mtu kuwa JWTZ haina maana kwamba yupo juu ya sheria. Walichokifanya wale wanajeshi waliokuwepo pale mbele ya car wash karibu na geti la VTC ni kitendo cha kanyama na cha kipuuzi sana . Najua tukifuatilia kwa pamoja tutawajua. Ili kukomesha tabia hii mbaya na ya kishenzi kabisa. Unaombwa msaada na mtu badala ya kumsaidia unampiga KISA wewe mwanajeshi?
Haya mambo mwamunyange aliyakomesha naona yanarudi tena.
Tuyakatae.
Tukio lilitokea Jumatatu ya tarehe 3. Jan. 2022
point hatujui haki zetu na kuzidai ni majangaaTatizo haujui jinsi ya kuwawajibisha huyo jamaa anakua mdogo sana kuna ngazi za kuripoti huko kambini kwao maana mwanajeshi hatakiwi kumuonea mwananchi kwenye miongozo yao na ukifanya hivyo kazi huna na adhabu juu sema wabongo hatujui kudai haki zetu
hadi kuhonga mtu ana hongaTena ukiwakuta hao wanaotaka kua wanajeshi kwenye usahili wanavyoaangaika kila kona hadi kwa Waganga wa kienyeji ili mradi apate kazi ya Ulinzi! Akishapata Sasa utamjua Kama ndiyo yeye, kiburi na ujuwaji unakua juu sana!!
Hamjui sheria ndugu zangu ndio maana mnawafanyia raia ubabe wa kisengerema mwisho wa siku mnapoteza kazi kijinga tu..Utawafanya nini sasa?!!! Omba usiingie anga zao!
Aisee, utembee na mke wangu halafu nikaushe kabisa. Weee.!yan kwa hofu waliyo nayo raia kwa hawa watu unaweza kuta mwanajeshi anatembea kabisa na mke wa raia na raia anajua na anatulia tuli kama hajui kinachoendelea vile dah hii hofu cjui itaisha lini huku uraiani
Yule mwanajeshi alikufa kifo kibaya sana.Kwa vitendo hivi kuna mwenzao mmoja mwaka juzi mkoani Tabora alikutwa ameuawa wakati akitoka doria.