Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kafundishwa kuua raia wake, huyo nae hajielewituanzie hapo kwenye mafunzo ya kuua ya kujiuliza huwa wanafundishwa kuua nani,wakati gani na kwa nini anafikia hadi hatua ya kuua??
kutoa roho ya mtu sio jambo jepesi kuua mtu sio kama kichinja kuku unajichagulia tu leo nitaua yule pale mwekundu
heshima imetaradadi safi kabisaMm nawakubali watu wa Nachingwea, kila siku kulikuwa na ngumi kati ya raia na wanajeshi kumbuka Nachingwea kuna kambi nne hapo mjini, wananchi wameonewa sana ikabidi nao waunde task force, wamepgana sana mpaka serikali wakaingilia kati, sasa hivi full kuheshimiana hakuna cha unanijua mm nan wala nn
Yaani kila siku ilikuwa kesi, wananchi nao wakaanza kuwaviziwa, zilipgwa sana mpaka heshima imerudiheshima imetaradadi safi kabisa
Eti ndo majembe. Lkn si yuko nyavu? Kwisha habari yakeWanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Amiliki kukuKwanini aliiba kuku?
Kuua ni ktk uwanja wa vita, mtaani kwa raia ndo uwanja wa vita!!inabidi apewe elimu huyu jamaa pengine hajui
Pole sana ulimbukeni unakusumbua sana!!Polisi ili mle rushwa huyu anahukumiwa hapohapo hamna uchunguzi ni kifiro tu
Inauma sana! Je angekuwa ndugu yakehuyu jamaa anachukulia poa tu
hajui kama ameua watu wameondokewa na mpendwa wao kubwa kuna watu walikuwa wanamtegemea.
Reasoning capacity yao ni kubwa kuliko ya kwako usiekua na elimu wala maarifaa!!Afu wenye elimu ndio wanakuaje
Huyo nae kilaza, sisi ndo tuna wajua wengi wao ni la pili Dyaan bado hajui faida ya elimu jamaa yangu hadi leo hii dah
kumbe kuna wachovu piahuyo mwanajeshi alikutana na mzee, angekutana na kijana wa kawaida tuuu, mbona angenyonywa mavi. Angepigwa mpaka akawachukue wenzake kambini.
kuna mwanajeshi alijifanya kuleta kiburi eti kisa kavaa kombati ya jeshi, kuna kajamaa kalimpa kichapo cha kufa mtu, mpaka likaenda kushtaki kwa wenzake kambini.
wanajeshi hawana kitu ni kama mlenda tuu, ukikomaa naye unamzibua vzr tuu mpaka anapagawa.