Afcon 2019: Tanzania yapangiwa kundi moja na Kenya Senegal na Algeria

Afcon 2019: Tanzania yapangiwa kundi moja na Kenya Senegal na Algeria

ila hawa jamaa wako serious sana na mambo si unaona event ina vyovutia hadi raha kuitizama.
Cha ajabu hapa dar hata hakujulikani kama kuna mashindano makubwa yanakuja hakuna matangazo yoyote ya utalii vijana wanapanda shabiby hata kuweka zile kava walizotangaza wameshindwa!! halafu akiteuliwa CEO mwarabu tena kwenye kampuni binafsi tunamtia selo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila hawa jamaa wako serious sana na mambo si unaona event ina vyovutia hadi raha kuitizama.
Cha ajabu hapa dar hata hakujulikani kama kuna mashindano makubwa yanakuja hakuna matangazo yoyote ya utalii vijana wanapanda shabiby hata kuweka zile kava walizotangaza wameshindwa!! halafu akiteuliwa CEO mwarabu tena kwenye kampuni binafsi tunamtia selo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa

Yohana 3:16
 
ila hawa jamaa wako serious sana na mambo si unaona event ina vyovutia hadi raha kuitizama.
Cha ajabu hapa dar hata hakujulikani kama kuna mashindano makubwa yanakuja hakuna matangazo yoyote ya utalii vijana wanapanda shabiby hata kuweka zile kava walizotangaza wameshindwa!! halafu akiteuliwa CEO mwarabu tena kwenye kampuni binafsi tunamtia selo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi nashangaa wakati Kuna watu Kama Tenga Ni wazoefu was haya Mambo wanashindwa kutoa muongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom