Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kama bado hujakubali kuwa sisi kiushindani bado basi kuitwa underdog ndo mnaorusha ngumi,hii siyo opinion bali ni fact sisi kuvuka tujikite zaidi kuvizia best losser........ndo iwe stategy yetu kama Portugal alipita kijanja janja Euro hadi kubeba kombe,ila sisi hata kuvuka round ya pili ni mafanikioMmeshaanza kuwaza Best Losser mapema hivi Tulieni muda utaongea