Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitengo cha propaganda unachokifanyia kazi hakika unakitendea haki. Hii imezidi hata uchawa hadi aibuKwani wewe nani kakuzuia kuja na nyuzi hizo.nitakujaje kulalamika hapa wakati naziona juhudi za serikali yetu katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.kwani kwa akili yako unafikiri kuna nchi hapa chini ya jua isiyo na changamoto? Hujasikia hata Marekani kwenyewe wafanyakazi wanafanya Maandamano kutaka waongezewe mishahara?
Ivyoivyo ni kuviboresha tu,Tanzania tuna viwanja vingi sana vya soka tena vingi vipo karibu na mjini vikiboreshwa vitakidhi ubora wanaotaka caf.Viko wapi, vile ambavyo ccm walipora sio viwanja ni majaluba tu sawa na wayolimia misukule.
Huwa sivutiwi na viwanja vya mpira wa miguu vyenye running tracks, vinawaweka mashabiki mbali na wachezajiUle wa Ali Hassan Mwinyi ungekarabatiwa ule bonge la Olympic stadium.
Washkaji zake aliosoma nao chuo wakiona mchizi wao anavyopamba kutafuta ugali wanabaki kushangaaLucas tafuta hela aisee. Huu uchawa ni wa kipumbavu sana. Yaani wewe ni chawa mjinga na familia yako imepata hasara sana. Nawahurumia watoto wako wakija.kusoma huu utumbo wako siku moja
Boss tumbo anampeleka puta. NJAA ISIKIE KWA JIRANI.Mbona ni kijana unayeoneka kuwa na akili timamu na unamjua Mungu na Ukuu wake!!??
Inakuwaje kujitoa ufahamu .
Ujinga ni tafsiri Yako wewe mwenye wivu ila wivu unakutafuna maana jirani yake ni chuki lazima uone 🔥🔥Heri usumbuliwe wivu kuliko kusumbulia na ujinga
Waboreshe kwanza shule kwani nyingi zina hali mbaya sana na zingine wakati wa mvua wanafunzi huruhusiwa kwenda nyumbani kwa sababu mvua ikiwa inanyesha darasa linakuwa kama mko kichakani.Ivyoivyo ni kuviboresha tu,Tanzania tuna viwanja vingi sana vya soka tena vingi vipo karibu na mjini vikiboreshwa vitakidhi ubora wanaotaka caf.
🤨🤨unamaanisha nini!!!?Kuna watu wameamua kuishi maisha ya tabu sana duniani hapa kwakweli.
Go, Mama Samia Suluhu Hassan, Goooooo!!!
Samia anahusikaje na AFCON? Kwanza itafanyika yeye akiwa Raia wa kawaida tu.Kuna watu wameamua kuishi maisha ya tabu sana duniani hapa kwakweli.
Go, Mama Samia Suluhu Hassan, Goooooo!!!
Poa.Waboreshe kwanza shule kwani nyingi zina hali mbaya sana na zingine wakati wa mvua wanafunzi huruhusiwa kwenda nyumbani kwa sababu mvua ikiwa inanyesha darasa linakuwa kama mko kichakani.
...Samia amehusika Vipi Hapo... ???Kuna watu wameamua kuishi maisha ya tabu sana duniani hapa kwakweli.
Go, Mama Samia Suluhu Hassan, Goooooo!!!