Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wangetandikwa viboko hadi waimbe haleluya.Huko wangewapeleka Joyce Kiria na malaika za cute
Talibans are hooligans in turbuns.Hii sasa ni zaidi ya utamaduni na sijui tuiteje hii maanake hata hizo wanazoita dini sidhani kama kuna ya watu wa hovyo kama hao Talibans...ππππ
Wanapiga reverse kurudi enzi za redio. Wapige tu marufuku tv badala ya kuumauma maneno.Ni hatari sana... Ni ni kusikiliza Sauti na kuangalia picha za majengo, miti na anga tu
Wajinga sanaJamaa wanaishi mwaka 1200 ..haya maimani mengine ni tabu sana.
Well saidSiyo imani tu,ni utamaduni wa WAARABU NA WAZUNGU na sisi WAAFRIKA TUKAAMBIWA TUUITE UISLAM NA UKRISTO.
π€£π€£π€£π€£Mbona hawakatazani easitumie simu maana Muhammad hakuwahi kutumia wala gari hajawahi kupandaHawataki television ya mzungu lakini wanatumia bunduki za wazungu kuchinjana wao Kwa wao
Hao jamaa wanataka kuwakandamiza wenzao harafu wao wale mema ya nchiπ€£π€£π€£π€£Mbona hawakatazani easitumie simu maana Muhammad hakuwahi kutumia wala gari hajawahi kupanda
Majinga Sana Yana tumia mifumo ya kale ktk kutawalaHao jamaa wanataka kuwakandamiza wenzao harafu wao wale mema ya nchi
SI ili yaendelee kufanya biashara ya opium wenzao wasipate taarifa yoyoteMajinga Sana Yana tumia mifumo ya kale ktk kutawala
πππππππFaiza foxy na Zito Kabwe ndiyo wanatakiwa waende huko kufanya udini wao, itawafaa sana.