Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Dini zingine zimekaa kihuni sana
Kwani umeambiwa suala la ndevu kwa wafanyakazi wa umma huko Afghanistan linahusiana na dini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini zingine zimekaa kihuni sana
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.
Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.
Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂
Dini zote zinaanza kukosa nguvu kutokana na watu kuanza kutambua kwamba Dini sio imani.muda unakuja Imani hii itatawala Dunia.
I pity wote watakao kuwepo nyakati hizo.
Dini zote zinaanza kukosa nguvu kutokana na watu kuanza kutambua kwamba Dini sio imani.
Kama wakianza kulazimisha Dini kwa nguvu nje ya mipaka yao ndani ya century hii basi itabidi watandikwe Nuclear ili iwe fundisho na dunia iwe na amani.
Linahusiana na nini?Kwani umeambiwa suala la ndevu kwa wafanyakazi wa umma huko Afghanistan linahusiana na dini??
mungu ndo anapiganiwa na watu ?Kila kitu kina sababu. Ya Mungu yatimie...
dini ya kupiganiwa na watu ?muda unakuja Imani hii itatawala Dunia.
I pity wote watakao kuwepo nyakati hizo.
dunia inabadilika , utamaduni wa ndevu sio asili ya yeyote yule ila ni mazingira ndo yaliwanya mababu wafuge ndevu na sio utamaduniKila Jamii ina haki ya kulinda utamaduni wake
Hata sie kuna nchi zinatushangaa inakuaje Ofisi za Umma wameweka aina chache tu za mavazi unayoruhusiwa kuvaa bila ya kujalisha Wewe ni mfanyakazi pale au ni mfuata Huduma, mf. Immigration kwanini wasiruhusu vimini au vipensi kwa wateja wao? Kwanini Askari haruhusiwi kufuga Afro au rasta ndevu?
Ni kama issue ya ushoga…wakati Wewe unashangaa mataifa yaliyohalalisha Ushoga kuna Mataifa yanakushangaa kwanini uzuie watu wa jinsia moja kuparamiana…
Wakati Tanzania inaruhusu Watu kuvaa hijabu kwny ofisi za Umma kuna mataifa yamepiga marufuku watu kuvaa hijabu kwny ofisi za Umma iwe ww ni mtoa huduma au mpokea huduma huruhusiwi kuvaa hijabu
kufuga ndevu ni imani?Imani iambatane na vitendo
Hongera Talibani.
Osama anaenziwa kikamilifu.
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.
Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.
Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂
kuna taratibu za kuondoa ushindani wa vitu nje ya kazi mf mavazi ya mauzo na ndio maana unaambiwa suruali ya kitambaa sio jeans ili kuepusha kuja na mavaz ambayo yatachukua attention ya watu na kupunguza efficiency ya kaz ila ndevu tunanyoa kwa sababu za usafi zaid wengi hawajui kuzitunza ndev , kuna mtu mpk zinanukaKwani sie suruali ya Jeans ukivaa kazini zinapunguza competence hadi zikazuiwa?
Bungeni ukivaa Kanzu bila ya kofia unatolewa nje…tunasubiri BBC wa post ndio nasi tushangae?
Hakuna nato aliyekimbia..wameamua kuondoka baada ya kukamilisha malengo yao..unadhani wakaitaka kurudi hata leo kuna matalebani wa kuwazuia.?Werevu wa NATO wamepambana nao kwa 20 years wamekimbia halafu Wee M NATO kutoka wanging'ombe unawaita Wajinga…ule ni uamuzi wao kwa matakwa yao na hawataki kupangiwa
Sie werevu hadi leo kuamua tu kuunga Mkono au kupinga vita vya Urusi vs Ukraine tunaogopa
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.
Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.
Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂
Hakuna nato aliyekimbia..wameamua kuondoka baada ya kukamilisha malengo yao..unadhani wakaitaka kurudi hata leo kuna matalebani wa kuwazuia.?
Hao ni puppets wa mabeberu ndio wanao tawala rimoti ipo usa.
Ndio mana kutwa kuenda kuwapigia magoti wapewe pesa kuendesha serikali.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
dunia inabadilika , utamaduni wa ndevu sio asili ya yeyote yule ila ni mazingira ndo yaliwanya mababu wafuge ndevu na sio utamaduni