Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Makafir wanaujua ubinadamu, hao watakaofika watahakikishiwa elimu, nyumba, chakula na matibabu mpaka mwisho wa uhai wao.Nilikuwa naangalia al jazeera jana,watu wananinginia kwenye ile ngazi pembeni,kumbe kila mwarabu anatamani kuishi kwa makafiri aisee! Mungu amewabariki sana makafiri,na bado anazidi kuwabariki kwa kila kitu