Tetesi: Afisa Elimu Sekondari Moshi Manispaa amuweka lokapu Mwalimu wa idara ya Elimu Msingi kisa Mwalimu kuuliza barua ya kazi maalum haina siku maalum

Tetesi: Afisa Elimu Sekondari Moshi Manispaa amuweka lokapu Mwalimu wa idara ya Elimu Msingi kisa Mwalimu kuuliza barua ya kazi maalum haina siku maalum

Kuna wanawake wana majibu ya karaha sana.

Pongezi kwa Afisa Elimu katumia busara kubwa kumuweka lockup badala ya kufanya jambo baya.

Mpaka mtu anawekwa lockup kuna mengi mengine yamejiri
Huu nao ni ukaraa,sasa jibu linahusiana vipi na kuweka mtu lock up,ni ukosefu wa busara na weledi wa nidhamu ya kiuongozi,sasa Kama wewe afisaa unaburuzwa kwa kutotambua wigo wa majukumu yako unataka nawe kuwaburuza walio chini yako,inawezekana mama mjane yuko vizuri anajitambua nakufahamu boss wake ni kilaza kwanii asimfahamishe,viongozi siokila mnalopewa mlitekeleze nmapaswa kulibeba Kama lilivyo mengine muyapime kwanza msije dhalilika mbeleni



http
 
Mwalimu alileta ujuaji hivi ratiba ya mitihani si ipo si angeangalia akajua mitihani inafanyika siku ngapi

Nampongeza afisa elimu kumshikisha adabu uyo madam kuna mda walimu mnakuwa wajuaji sana kwa vitu ambavyo vipo wazi na vinajieleza, tangu lini barua ya kazi maalumu inasema stahiki zako ni zipi

Mambo mengine walimu mnajitakia
 
Kuna wanawake wana majibu ya karaha sana.

Pongezi kwa Afisa Elimu katumia busara kubwa kumuweka lockup badala ya kufanya jambo baya.

Mpaka mtu anawekwa lockup kuna mengi mengine yamejiri
Hii kitu ya mtu kama afisa elimu au ofisa wa serikali kumuweka mtu ndani bila kibali cha mahakama kisheria ikoje? au swali rahisi ni nani ana uwezo wa kumuweka mtu ndani au sheria inasemaje kwa ujumla kuhusu mtu kuwekwa ndani (utaratibu na nani mwenye mamlaka), inaonekana bado tunaishi na sheria za kikoloni
 
Nampa pole huyu mwalimu, lakini siamini kama afisa elimu kafikia hatua hiyo bila sababu za msingi, lakini hizo nafasi za kusimamia mitihani wengi wanazililia ukiona umeipata lakini ukanusa harufu ya kutotendewa haki basi ni vyema kujitoa kuliko kuanza kuhoji mambo ambayo yanaweza kukupeka kwenye matatizo.....dunia haijawahi kuwa sawa na haitatokea kamwe kuwa sawa...kuna mengi ukiyajua wala huwezi kusumbuka
 
Hii kitu ya mtu kama afisa elimu au ofisa wa serikali kumuweka mtu ndani bila kibali cha mahakama kisheria ikoje? au swali rahisi ni nani ana uwezo wa kumuweka mtu ndani au sheria inasemaje kwa ujumla kuhusu mtu kuwekwa ndani (utaratibu na nani mwenye mamlaka), inaonekana bado tunaishi na sheria za kikoloni
Huko umeenda mbali. Cha msingi mwaliku yupo sehemu salama.

Kitendo cha mwalimu kuwekwa lockup ni ishara ya kushindikana
 
Huu nao ni ukaraa,sasa jibu linahusiana vipi na kuweka mtu lock up,ni ukosefu wa busara na weledi wa nidhamu ya kiuongozi,sasa Kama wewe afisaa unaburuzwa kwa kutotambua wigo wa majukumu yako unataka nawe kuwaburuza walio chini yako,inawezekana mama mjane yuko vizuri anajitambua nakufahamu boss wake ni kilaza kwanii asimfahamishe,viongozi siokila mnalopewa mlitekeleze nmapaswa kulibeba Kama lilivyo mengine muyapime kwanza msije dhalilika mbeleni



http
Acha aonje joto ya kugoma
 
Afisa elimu sekondari manispaa ta moshi siyo mwanaume huo mfumo dume unatoka wapi ni mwanamke kama huyo aliyenyanyaswa
Wee nani kakuambia mfumo dume ni lazima usababishwe na mwanaume pekee. Kwa ufahamisho wako unyanyasaji mkubwa unafanywa na wanawake waliozoea ukandamizaji huu. The oppressed normally becomes a notorious oppressor!. Jifunze maana ya mfumo!
 
Afisa elimu hana mamlaka ya kumuweka mtu lockup.
Mkuu wa wilaya na mtendaji kata na kijiji ndio wanayo hayo mamlaka..

Itakuwa afisa elimu ameona kosa kwa mwalimu na afisa usalama aliyeko kwenye msafara wa mtihani akamtia hatiani
 
Suala hili lifuatiliwe ila acha kutumia neno mjane maana hata angekuwa na mume kwan angefanyaje?
 
Katika hali isiyo ya kawaida, mwalimu wa shule ya msingi Moshi Manispaa amewekwa lokapu kituo kikuu cha polisi Moshi na afisaelimu sekondari Moshi Manispaa, bila mwajiri wake ambaye ni Mkurugenzi wa Moshi Manispaa kujua mwalimu aliko kwa muda wa siku mbili.

Kwa maelezo ya mwalimu huyo, alipangiwa kusimamia mitihani ys kidato cha pili shule ya sekondari iliyopo moshi Manispaa, baada ya kupangiwa kituo cha kaxi maalum , mwalimu huyu aliriporti kwenye kituo cha kazi maalum , ila mwalimu aliuliza kwanini barua aliyopewa haionyeshi atafanya kazi hiyo maalum kwa muda gani na malipo ni kiasi gani?

Baada ya mwalimu kuuliza swali hilo, alikwenda kukamatwa saa moja kamili tar 31.10.2022 na kupelekwa kituo cha polisi moshi mjini na kuwekwa ndani kwa kosa la kusababisha mgomo na afisaelimu sekondari kwa kushirikiana na afisaelimu msingi.

Mwalimu huyo kwa maelezo yake , afya yake sio nzuri na kulingana na maelezo yake pia anaonyedha ni mjane na alinyanyaswa sana na mwajiri wake alivyopigiwa simu alionyesha kutokujua kilichotokea .
Kwa hali ilivyo kwa sasa,
maafisaelimu wa sekondari na msingi wanawanyanyasa walimu wa kike kiasi kwamba wengi wanajilaumu kuajiriwa moshi manispaa kwmateso wanayopata.

Kwa hali ilivyo walimu wanafanya kazi ya baraza la mtihani bila kujua malipo yao kufuatana na miongozo ya baraza la mitihani kuhusu malipo ya kazi maalum.

Kuna kila dalili walimu wa kike wananyanyaswa kijinsia na uongozi wa elimu manispaa kwa kuwachukulia wao kazi wanapangiwa kazi yao ni kuzifanya bila malipo au kwa ujira mdogo.

Tunaomba mwalimu huyo awekewe ulinzi kwani mabosi wake wamemtishua maisha na ukixingatia kuwa ni mjane hana wa kumtetea.

Kila siku ameamriwa kuripoti kituo cha polisi Moshi bila kujali anatakiwa akafundishe watoto wala bila kujali nauli anspata wapi ya kwenda na kurudi kituo cha polisi.

Ombi, tunaomba iundwe tume ya kuchunguza kilichotokea na mjane ambaye ni mwalimu awekewe ulinzi ikiwa ni pamoja na mabosi waliohusika kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi .

Pili walio mabosi wa walimu ( elimu msingi)wamekaa kwenye vituo vya kazi kwa miaka 15 na zaidi hivyo kufanya kazi kwa mazoea na kutesa walimu wa kike tunaomba wahamishwe ili wakahudumu maeneo mengine angalsu walimu wapate nafuu ya kikazi na kimaisha..

Hali ya kikazi kwa walimu Moshi Majispaa sio rafiki kupitia kwa maafisaelimu wa msingi na Sekondari, walimu wengine wameamua kukimbia na kupotelea kusikojulikana .

Walimu wengine wa kike wamekuwa wakipata mateso hadi mimba walizonazo zinatoka kwa mateso na mikasa wanayopewa na mabosi wao.
Wengi wa mnaoshtakiana JF ni walimu.Hivi mna matatizo gani wapendwa wetu?
 
Tangu lini Afisa Elimu akamiliki chombo Cha dola? Aliwezaje kumuamuru Kamanda wa Polisi wa Wilaya?
Hawa police wa Wambura na Kingai unategemea nini!? Wao wanafanya kazi kwa MAZOEA tu na kuegemea mazingira. Usije shangaa wakati wanaamrishwa na huyo afisa elimu waliompigia na saluti.
 
Tumesimuliwa hii habari upande mmoja tu. Tungepata na upande wa Afisa Elimu ili tuweke uwiano. Katika hali ya kawaida mtu hawezi kuwekwa rumande kwa kuuliza muda wa kazi hiyo maalumu na kiwango cha malipo. Lazima kutakuwa na jambo/mambo mengine ya ziada ama ya jinai au utovu wa nidhamu yaliyosababisha aswekwe rumande. Mleta mada ameegemea upande mmoja tu.
umeonaa eeh! hauwezi kuhukumu kwa kusikiliza pande moja tu🙏
 
mleta mada hii stori umesimuliwa au upo moshi maana unaemzungumzia kama afisa elimu ni mwanamke labda afisa elimu msingi ndio mwanaume sasa huo mfumo dume unaingiaje hapo.

Nijuavyo kuna kanuni za uongozi na kutambua cheo cha juu yako hivyo mpka mtu anawekwa chini ya uangalizi wa polisi kuna namna wamekoseana.

ushauri kwa mleta mada ni kwamba kama ww umeweza kuliona hilo swala na likawa ni makosa ya afisa elimu bas litashughulikiwa kwakua hata wakuu washaliona ila unatuchanganya kusema afisa elimu ni mwanaume labda moshi nyingine huenda ikawa moshi wa sigara
 
Katika hali isiyo ya kawaida, mwalimu wa shule ya msingi Moshi Manispaa amewekwa lokapu kituo kikuu cha polisi Moshi na afisaelimu sekondari Moshi Manispaa, bila mwajiri wake ambaye ni Mkurugenzi wa Moshi Manispaa kujua mwalimu aliko kwa muda wa siku mbili.

Kwa maelezo ya mwalimu huyo, alipangiwa kusimamia mitihani ys kidato cha pili shule ya sekondari iliyopo moshi Manispaa, baada ya kupangiwa kituo cha kaxi maalum , mwalimu huyu aliriporti kwenye kituo cha kazi maalum , ila mwalimu aliuliza kwanini barua aliyopewa haionyeshi atafanya kazi hiyo maalum kwa muda gani na malipo ni kiasi gani?

Baada ya mwalimu kuuliza swali hilo, alikwenda kukamatwa saa moja kamili tar 31.10.2022 na kupelekwa kituo cha polisi moshi mjini na kuwekwa ndani kwa kosa la kusababisha mgomo na afisaelimu sekondari kwa kushirikiana na afisaelimu msingi.

Mwalimu huyo kwa maelezo yake , afya yake sio nzuri na kulingana na maelezo yake pia anaonyedha ni mjane na alinyanyaswa sana na mwajiri wake alivyopigiwa simu alionyesha kutokujua kilichotokea .
Kwa hali ilivyo kwa sasa,
maafisaelimu wa sekondari na msingi wanawanyanyasa walimu wa kike kiasi kwamba wengi wanajilaumu kuajiriwa moshi manispaa kwmateso wanayopata.

Kwa hali ilivyo walimu wanafanya kazi ya baraza la mtihani bila kujua malipo yao kufuatana na miongozo ya baraza la mitihani kuhusu malipo ya kazi maalum.

Kuna kila dalili walimu wa kike wananyanyaswa kijinsia na uongozi wa elimu manispaa kwa kuwachukulia wao kazi wanapangiwa kazi yao ni kuzifanya bila malipo au kwa ujira mdogo.

Tunaomba mwalimu huyo awekewe ulinzi kwani mabosi wake wamemtishua maisha na ukixingatia kuwa ni mjane hana wa kumtetea.

Kila siku ameamriwa kuripoti kituo cha polisi Moshi bila kujali anatakiwa akafundishe watoto wala bila kujali nauli anspata wapi ya kwenda na kurudi kituo cha polisi.

Ombi, tunaomba iundwe tume ya kuchunguza kilichotokea na mjane ambaye ni mwalimu awekewe ulinzi ikiwa ni pamoja na mabosi waliohusika kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi .

Pili walio mabosi wa walimu ( elimu msingi)wamekaa kwenye vituo vya kazi kwa miaka 15 na zaidi hivyo kufanya kazi kwa mazoea na kutesa walimu wa kike tunaomba wahamishwe ili wakahudumu maeneo mengine angalsu walimu wapate nafuu ya kikazi na kimaisha..

Hali ya kikazi kwa walimu Moshi Majispaa sio rafiki kupitia kwa maafisaelimu wa msingi na Sekondari, walimu wengine wameamua kukimbia na kupotelea kusikojulikana .

Walimu wengine wa kike wamekuwa wakipata mateso hadi mimba walizonazo zinatoka kwa mateso na mikasa wanayopewa na mabosi wao.
Huu ndio ujinga wa kupita kiasi kama haya ni kweli. Afisa wa elimu sekondari ana power gani ya kuamrisha jeshi la polisi limuweke ndani mtu yeyote yule? Huu ni ujinga wa kupita kiasi na ni aibu sana tu.
 
Kuna wanawake wana majibu ya karaha sana.

Pongezi kwa Afisa Elimu katumia busara kubwa kumuweka lockup badala ya kufanya jambo baya.

Mpaka mtu anawekwa lockup kuna mengi mengine yamejiri
Ni kwa kutumia sheria gani afisa alimu ameweza kutoa amri kwa jombo cha dola kumeweka mtu jela au hiyo unayoiita wewe lockup? Huo ni ujinga ni inasikitisha kuona kuwa kuna watu hawaoni hapo kuwa watu wanatumia madaraka yao ovyo na polisi kama chombo cha dola kinaendeshwa na watu wasiojua sheria. Toka lini afisa wa elimu akawa anaamrish polisi cha kufanya?
 
Ni kwa kutumia sheria gani afisa alimu ameweza kutoa amri kwa jombo cha dola kumeweka mtu jela au hiyo unayoiita wewe lockup? Huo ni ujinga ni inasikitisha kuona kuwa kuna watu hawaoni hapo kuwa watu wanatumia madaraka yao ovyo na polisi kama chombo cha dola kinaendeshwa na watu wasiojua sheria. Toka lini afisa wa elimu akawa anaamrish polisi cha kufanya?
Kilio na kituko hiki kimetokea Moshi Manispaa tarehe 31.10.2022.

Afisaelimu sekondari alipata nafasi hiyo kwa mchongo mkubwa na alikuwa mwalimu wa msingi ila cha kushangaza kateuliwa kuwa afisaelimu sekondari.

Tamisemi ukiwa na fedha vyeo unanunua na unapewa na hutakuwa na uchungu na watumishi kwa sababu cheo ulikinunua
 
Back
Top Bottom