Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Afisa habari wa klabu ya Yanga, Dismas Ten naye ameamua kujiuzulu nafasi yake ndani ya Yanga, Ten ameandika barua kwenda kwa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo akidai kwamba ameamua kujiuzulu kutokana na matatizo ya afya yake.
Dismas amejiuzulu nafasi yake siku mbili baada ya Katibu mkuu wa klabu hiyo Charles Mkwasa kujiuzulu.
Dismas amejiuzulu nafasi yake siku mbili baada ya Katibu mkuu wa klabu hiyo Charles Mkwasa kujiuzulu.