Afisa Makao Makuu CHADEMA: Mbowe anaendekeza Ukabila. Kati ya wafanyakazi 19 wanaolipwa Mishahara na CHADEMA 9 wanatoka Killimanjaro

Afisa Makao Makuu CHADEMA: Mbowe anaendekeza Ukabila. Kati ya wafanyakazi 19 wanaolipwa Mishahara na CHADEMA 9 wanatoka Killimanjaro

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi
Je na Lissu akishinda japo ni almost impossible na yeye akaanza kujaza Wanyaturu na Wanyiramba?! Ni nini kifanyike ili kuzuia Ukabila na Udini kwenye Chama chetu cha CHADEMA na Tanzania kwa ujumla?!
 
XxxxxX
Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa Taifa. Naomba nikushirikishe na wewe upime Je kuna ukweli wowote?

Secretariat ambacho ni chombo cha kiutendaji cha kila siku yaani engine ya Chama ina wajumbe 10 mpaka sasa. Wajumbe hawa wamegawanyika katika sehemu kuu tatu

1. Wajumbe wa kuchaguliwa na Baraza Kuu. Hapa naongelea Makatibu wa Mabaraza yote matatu (Bavicha , Bawacha na Bazecha)

2. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Hapa nawaongelea Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Mkuu

3. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Kamati Kuu. Hapa nawaongelea wakurugenzi

Kwa mantiki hiyo, wajumbe wa moja kwa moja wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa ni Katibu Mkuu, Naibu Bara , Naibu Zanzibar na wakurugenzi.

UKABILA
Mpaka sasa hivi Makao Makuu wapo wakurugenzi wanne kati ya hawa wakurugenzi watatu wanatoka mkoa wa Kilimanjaro majina yao ni
Reggy Munisi - Mchaga kutoka moshi (machame)
Jonathan Mndeme - Mpare kutoka same na John Mrema - mchaga kutoka vunjo. Mkurugenzi mmoja tu ndo anatoka Mkoa wa Kagera Mzee Lutembeka na ni kwa vile tu wanamtumia ku save nafasi mbili kama Katibu Mkuu wa BAZECHA TAIFA na kwa taaluma yake wanamtumia kama mkurugenzi wa FEDHA NA RASILIMALI

Twende kwenye watumishi wa kawaida Maafisa

Hapo Makao Makuu mpaka sasa wapo wakuu wa idara na maafisa 9 kati ya Hao wakuu wa idara na maafisa 5 wanatokea mkoa wa Kilimanjaro. Kwa majina ni
1. Zuhuru Nkya - Mchaga anatokea HAI
2. Karimu Muro - mtoto wa mwisho wa kumzaa wa Zuhura Nkya - Mchaga anatokea HAI
3. Lucas Mrema - Mchaga anatokea Vunjo
4. John Ngauro - Mchaga anatokea moshi
5. Aron Mashuve - mpare anatokea same

UDINI
Hivi tunavyozungumza pale makao makuu Muislamu anayefanya kazi Makao Makuu ni lazima awe anatokea Mkoa wa KILIMANJARO. Wasiotokea mkoa wa KILIMANJARO wote baada ya chama kuanza kupokea RUZUKU wameondolewa kwenye UTUMISHI

Watumishi waliopo makao makuu ambao ni waisilamu ni watatu ambao ni Karimu Muro, Zuhura Nkya, Reggy wote hawa wanatokea mkoa wa KILIMANJARO . Watumishi ambao ni Waislamu wameondolewa kwa sababu Hawatoki KILIMANJARO ni Zainab Ashraf Kutoka Tanga na Halima Lichonyo Kutoka Ruangwa Lindi. (Chunguzeni)

Kwa ujumla wake makao makuu inawatumishi kwa maana ya Secretariat na Maafisa jumla 19. Kati ya Hao 9 wote wanatoka mkoa wa Kilimanjaro, Waislamu wote wanatokea Kilimanjaro isipokuwa mmoja tu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.

Hivyo, Wapinzani wetu wamekuwa wanatupiga sana kwenye hii hoja ya UDINI na UKABILA kitu ambacho kwa jicho la kiuhalisia ni Kweli, tunatakiwa kuwa smart na kuondoa ombwe la namna hii. Lazima tupate mchanganyiko kutoka pande mbalimbali kutoka mikoa yetu. Uwakilishi uwe na uwiano wa haki na usawa.

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi

Ikumbukwe hapa sijaongelea walinzi wala madereva

Naomba wajumbe wapiga kura tafadhali hilo tufanyie uamuzi sahihi Tuletee TUNDU LISSU ili tuje tujenge upya Chama chetu

Tusimame na LISSU 21 January.......!

Remigius Celestine
22.12.2024
Nchi imejaa watu wanachuki sana..

Bila siasa za hivi watu wazima hawawez kulisha familia,

Embu twambie utaratibu wa ajira hapo HQ upoje?

Wachaga wapo zaid ya Mil 3 nchi nzima, ni asilimia ngapi hiyo unayozungumzia?

Hao Covid ni CCM?

Hizi ny@g na wachaga sijiu huwa mnazitoa wapi kila siku..

Wachaga wanafaidi zaid CCM maana ina Mawaziri wawili mpaka sasa...
Na wabunge wote mkoa wa KLM ni wa CCM ..
 
Mnaweza kufanya kampeni bila kuchafua mtu, Mbowe hana uwezo wa kuamua lolote bila Kamati Kuu, kuweni na Utu kidogo
Huu mpasuko uliopo sasa kausababisha mbowe na machawa wake, nadhani ilikua busara sana, angestaafu kulinda heshima yake.
 
Wachaga ni noma,wale covid19 wameweka mahawara zao ili wapige dili.

Unaaminije chama kutimua covid 19 wakati wameweka mademu zao.

Mbowe kuokoa chama baada ya kushinda atawarudisha covid 19 wote
 
XxxxxX
Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa Taifa. Naomba nikushirikishe na wewe upime Je kuna ukweli wowote?

Secretariat ambacho ni chombo cha kiutendaji cha kila siku yaani engine ya Chama ina wajumbe 10 mpaka sasa. Wajumbe hawa wamegawanyika katika sehemu kuu tatu

1. Wajumbe wa kuchaguliwa na Baraza Kuu. Hapa naongelea Makatibu wa Mabaraza yote matatu (Bavicha , Bawacha na Bazecha)

2. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Hapa nawaongelea Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Mkuu

3. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Kamati Kuu. Hapa nawaongelea wakurugenzi

Kwa mantiki hiyo, wajumbe wa moja kwa moja wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa ni Katibu Mkuu, Naibu Bara , Naibu Zanzibar na wakurugenzi.

UKABILA
Mpaka sasa hivi Makao Makuu wapo wakurugenzi wanne kati ya hawa wakurugenzi watatu wanatoka mkoa wa Kilimanjaro majina yao ni
Reggy Munisi - Mchaga kutoka moshi (machame)
Jonathan Mndeme - Mpare kutoka same na John Mrema - mchaga kutoka vunjo. Mkurugenzi mmoja tu ndo anatoka Mkoa wa Kagera Mzee Lutembeka na ni kwa vile tu wanamtumia ku save nafasi mbili kama Katibu Mkuu wa BAZECHA TAIFA na kwa taaluma yake wanamtumia kama mkurugenzi wa FEDHA NA RASILIMALI

Twende kwenye watumishi wa kawaida Maafisa

Hapo Makao Makuu mpaka sasa wapo wakuu wa idara na maafisa 9 kati ya Hao wakuu wa idara na maafisa 5 wanatokea mkoa wa Kilimanjaro. Kwa majina ni
1. Zuhuru Nkya - Mchaga anatokea HAI
2. Karimu Muro - mtoto wa mwisho wa kumzaa wa Zuhura Nkya - Mchaga anatokea HAI
3. Lucas Mrema - Mchaga anatokea Vunjo
4. John Ngauro - Mchaga anatokea moshi
5. Aron Mashuve - mpare anatokea same

UDINI
Hivi tunavyozungumza pale makao makuu Muislamu anayefanya kazi Makao Makuu ni lazima awe anatokea Mkoa wa KILIMANJARO. Wasiotokea mkoa wa KILIMANJARO wote baada ya chama kuanza kupokea RUZUKU wameondolewa kwenye UTUMISHI

Watumishi waliopo makao makuu ambao ni waisilamu ni watatu ambao ni Karimu Muro, Zuhura Nkya, Reggy wote hawa wanatokea mkoa wa KILIMANJARO . Watumishi ambao ni Waislamu wameondolewa kwa sababu Hawatoki KILIMANJARO ni Zainab Ashraf Kutoka Tanga na Halima Lichonyo Kutoka Ruangwa Lindi. (Chunguzeni)

Kwa ujumla wake makao makuu inawatumishi kwa maana ya Secretariat na Maafisa jumla 19. Kati ya Hao 9 wote wanatoka mkoa wa Kilimanjaro, Waislamu wote wanatokea Kilimanjaro isipokuwa mmoja tu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.

Hivyo, Wapinzani wetu wamekuwa wanatupiga sana kwenye hii hoja ya UDINI na UKABILA kitu ambacho kwa jicho la kiuhalisia ni Kweli, tunatakiwa kuwa smart na kuondoa ombwe la namna hii. Lazima tupate mchanganyiko kutoka pande mbalimbali kutoka mikoa yetu. Uwakilishi uwe na uwiano wa haki na usawa.

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi

Ikumbukwe hapa sijaongelea walinzi wala madereva

Naomba wajumbe wapiga kura tafadhali hilo tufanyie uamuzi sahihi Tuletee TUNDU LISSU ili tuje tujenge upya Chama chetu

Tusimame na LISSU 21 January.......!

Remigius Celestine
22.12.2024
Bila mbowe kukaa pembeni chadema, Bado kutaendelea kuwa na uchafu mwingi Sana chadema, mbowe ameendekeza uzoefu Sana badala na taratibu na kanuni zinazopaswa kuendeshwa taasisi.Nawaomba Sana wale wanaopenda mabadiliko kupitia chadema, tupambane kumwombea kura lissu, nje ya lissu hakuna jipya chadema
 
Kabla ya kuhoji ya Chadema na wachaga, njoo TRA uone utitiri wa wachaga walivyojaa, utadhani ni taasisi yao. Sijui hili nalo likoje?
 
Back
Top Bottom